Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tz ina usiri mkubwa ktk kufanya mambo yake, usikute hili jambo hata viongozi wakubwa serikalini hawajui ni za aina gn.
Alaaa!!basi ndio mjipange kw lolote, manake zile ITX, KTX na KOrail nilizichambua kw sana..
Treni zinazoendana kulingana na design yenu na zile mlizopost youtube huenda haziendani na design ya reli yenu
 
Alaaa!!basi ndio mjipange kw lolote, manake zile ITX, KTX na KOrail nilizichambua kw sana..
Treni zinazoendana kulingana na design yenu na zile mlizopost youtube huenda haziendani na design ya reli yenu
We bwege kweli manufacturer huwa anamsikiliza client anataka nn.
 
Hahahaha Japan inakopa kwenye central bank of Japan, ninyi Bank of Kenya haina hata pesa ya kununua officepins ndio iwe na pesa ya kukopesha serikali? 😁😁😁
Which Bank specifically unazungumzia kilaza? 😂😂😂 internal borrowing unaelewa maana yake kweli ? How can Japan kopesha itself? Kenya hakuna kitu kinaitwa BANK OF KENYA, hehehehe , kuna commercial banks within the country that can loan the gov't.., unaropokwa tu ovyo ovyo😂😂😂😉 this time round mmebaki kutapatapa tu, hamna lolote😂😂😂😂
 
Which Bank specifically unazungumzia kilaza? 😂😂😂 internal borrowing unaelewa maana yake kweli ? How can Japan kopesha itself? Kenya hakuna kitu kinaitwa BANK OF KENYA, hehehehe , kuna commercial banks within the country that can loan the gov't.., unaropokwa tu ovyo ovyo😂😂😂😉 this time round mmebaki kutapatapa tu, hamna lolote😂😂😂😂
Japan's debt is unfathomably large. According to the Bank of Japan (BoJ) the main state creditor, at the end of 2019 it stood at 1,328,000,000,000,000 yen.

🤔
 
Which Bank specifically unazungumzia kilaza? 😂😂😂 internal borrowing unaelewa maana yake kweli ? How can Japan kopesha itself? Kenya hakuna kitu kinaitwa BANK OF KENYA, hehehehe , kuna commercial banks within the country that can loan the gov't.., unaropokwa tu ovyo ovyo😂😂😂😉 this time round mmebaki kutapatapa tu, hamna lolote😂😂😂😂
Tumewatoa povu nadhani leo pesa za MATAGA zitakatizwa kwa nusu. Watu wajinga sana hawajielewi.

😹😹 ati battle.. WHAT BATTLE?
 
Emu rudia tena..flyover mbili ndio zimekupa hicho kiburi tena moja ni donation kutoka japan[emoji23][emoji23]
Ama ni yale masoko ya donation mnayojengewa..
Mnafikiria hatujui km mnajengewa vitu km msaada hko kwenu
Dah yaani wewe Dada shenanigan ni hatari, hizi akili huwa unazilokota wapi maeneo hayo ya mombasani? 😅😅😅
 
Dona Kantri ushuzi, leteni mahindi na vitunguu tuyanunue. Mwenye kuanzisha "battle" mwenyewe alishaona ukweli akasepa MATAGA wamebakia kujifariji na ujinga 😹😹

Mods naomba uzi usifutwe, MATAGA wapate exposure 👇



Na haturingi
 
Japan's debt is unfathomably large. According to the Bank of Japan (BoJ) the main state creditor, at the end of 2019 it stood at 1,328,000,000,000,000 yen.

🤔
Kwa hivyo unakubali Japan wawe na debt "unfathomably large" lakini Kenya tukipandisha deni mnalia ehn? 😹😹

JF rahaa, walahi this time round silipiii subscription ya Netflix HAHAHA
 
Back
Top Bottom