Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukweli unauma ahahahaa! Kibera boy sometimes learn to accept the truth coz it will make you free. A low speed (80kph) SGR kama yenu ni sawa na upgraded MGR yetu ambayo speed ni almost the same. Treni na Mabehewa ya hiyo SGR yenu ni sawa kabisa ya MGR yetu tena nadhani baadhi ya mabehewa ya MGR yetu ni mazuri zaidi. Pia SGR train zinazotumia dizeli katika karne hii ni sawa tu na MGR ya karne ya 20. By those facts you should humbly kneel down and accept the bitter truth you idiot!
Treni za uchumi wa kati sio ?

 
vitu vilivoagizwa mzee ni motoo from south korea brand new electric modern high speed train budaaa
Icho jana geza kashindwa kunieleza km hzo treni mlizoagiza ni design gani tuzichambue..
Manake katika habari niliona south korean firm tu, km ni ITX basi tujuzeni km ni model gani
 
Icho jana geza kashindwa kunieleza km hzo treni mlizoagiza ni design gani tuzichambue..
Manake katika habari niliona south korean firm tu, km ni ITX basi tujuzeni km ni model gani
Tz ina usiri mkubwa ktk kufanya mambo yake, usikute hili jambo hata viongozi wakubwa serikalini hawajui ni za aina gn.
 
Ukweli unauma ahahahaa! Kibera boy sometimes learn to accept the truth coz it will make you free. A low speed (80kph) SGR kama yenu ni sawa na upgraded MGR yetu ambayo speed ni almost the same. Treni na Mabehewa ya hiyo SGR yenu ni sawa kabisa ya MGR yetu tena nadhani baadhi ya mabehewa ya MGR yetu ni mazuri zaidi. Pia SGR train zinazotumia dizeli katika karne hii ni sawa tu na MGR ya karne ya 20. By those facts you should humbly kneel down and accept the bitter truth you idiot!
Pia MGR yenu inabeba double stack
 
Hivi ninyi mna total debt of 7 trillion hamna chochote ambacho hakipo Tanzania, sisi wenye total debt la 2 trillion tulio na mengi makubwa msio nayo ninyi tukisema tukope angalau mpaka 4 trillion, hivi mtakaa kweli mtufukie?
Emu rudia tena..flyover mbili ndio zimekupa hicho kiburi tena moja ni donation kutoka japan
Ama ni yale masoko ya donation mnayojengewa..
Mnafikiria hatujui km mnajengewa vitu km msaada hko kwenu
 
so now adays u compare developed country and developing country
Deni ni deni halitaki kujua km wewe ni nani, km wao ni wanaume walilipe kw mkupuo...
Tena kila baada ya mda linaongezeka mbna lisipungue

Marekani deni la china mpka leo anawaza atalilipaje, na u developed wao si waamke walilipe kesho uone
 
Back
Top Bottom