Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,261
- 33,493
So kubadilika kwa dunia ni kutengeneza tent ya matanga and then you name it "Arena ya kisasa"? 🤣 🤣ww sijui mtu wa wapi unaushamba sana nenda na wakati dunia imebadilika kabisa
So kubadilika kwa dunia ni kutengeneza tent ya matanga and then you name it "Arena ya kisasa"? 🤣 🤣ww sijui mtu wa wapi unaushamba sana nenda na wakati dunia imebadilika kabisa
Hiyo yenu inafanana na tent ya matanga 😂 😂Kitulize arena yetu ikamilike ndio uje na hii chicken cage yenu tupange battle 😆
Na bado hata ilani haijaanza kutekelezwa, ndani ya miaka miwili ijayo tunakua na biggest arena in Africayani hawa watu ni wakuwahurumia bado wana ushamba sana
subiri ikamilike alaf ufungue hicho kipumulio chakoSo kubadilika kwa dunia ni kutengeneza tent ya matanga and then you name it "Arena ya kisasa"? 🤣 🤣
Hohoho hata Burundi pia wako na ilani ya kujenga gorofa refu duniani. By the way hiyo tent ya Matanga ndio kitu mlikuwa promised don`t expect something ele.Na bado hata ilani haijaanza kutekelezwa, ndani ya miaka miwili ijayo tunakua na biggest arena in Africa View attachment 1597118
Mbona ningoje tent ya matanga ikamilike?subiri ikamilike alaf ufungue hicho kipumulio chako
Hiki kitu bado sijaona mpinzani wake hapa afrika mashariki na kati..sijaona badoMbona unatumia picha za zamani yakhe? Kitu kimekamilika siku nyiingi!
![]()
![]()
Sawa mr.your haveWewe mbuzi huezinifundisha anything kuhusu kingereza.
uhehheheheh hautaishiwa sababu mark my words👇👇👇😆
Ujinga uliotukuka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona mnapiga magoti na kuosha viombo na kupaka wamama cutex ili mupate kura kutoka kwa wananchi, hahaha
View attachment 1594723View attachment 1594724
Mbona duale alipoliongelea hilo swala bungeni hamkujibuMnaruhusiwa kununua humanitarian supplies kama mahindi, mchele na vitunguu! Dhahabu si league yenyu!
Jaguar kaufyata baada ya kuona ubabe wa Tanzania kwenye suala la corona na ufungiaji wa KQ!
Hawa kwenye finishing ndo huwa tunawabaka, we subiri atabaki kuruka ruka km kwenye ile new modern University ambayo ulimwambia alete ya kenya inayokaribiana na ile kashindwa [emoji3][emoji3][emoji3]umawazimu wa kichwa ww fungua hii video alaf uongee tena[emoji116][emoji116][emoji116][emoji23]
unawivu wakike sana wewe😂😂😂Mbona ningoje tent ya matanga ikamilike?
wanakwambia wana shule ona hii😂😂👇Anashindwa kuamini kuwa Ni shule ya serikali...
Siezionea hile tent wivu, mbona nione wivu na tuko na kitu hamatawai kuwa nayo👇👇unawivu wakike sana wewe😂😂😂
Uyo demu huyo huoni avatar yake inasadifu yaliyomo.unawivu wakike sana wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahhagaaa Kenya wababaishaji sn, kwahyo hiyo ndiyo Arena mbn kaduchu hivii zen mtaambiwa ni $700mil[emoji3][emoji3][emoji3]Siezionea hile tent wivu, mbona nione wivu na tuko na kitu hamatawai kuwa nayo[emoji116][emoji116]
View attachment 1597220
Mmepigwa na hapa kama kwenye SGR tuSiezionea hile tent wivu, mbona nione wivu na tuko na kitu hamatawai kuwa nayo👇👇
View attachment 1597220