Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahhagaaa Kenya wababaishaji sn, kwahyo hiyo ndiyo Arena mbn kaduchu hivii zen mtaambiwa ni $700mil[emoji3][emoji3][emoji3]
Siezipingana na watu wa tent ya matanga 🤣 🤣 . For your information that Arena has a capacity of 5,000 seated spectators.
 
Siezipingana na watu wa tent ya matanga 🤣 🤣 . For your information that Arena has a capacity of 10,000 seated spectators.
Hawa wakenya bana baada ya kuona ile ya kigali ina capacity ya 10k na yao wameassume the same wajisifu tu.

Reality humo ndani wakiingia watu 2k tu hawapumui.. wanakufa kwa kukosa hewa.
 
Siezipingana na watu wa tent ya matanga [emoji1787] [emoji1787] . For your information that Arena has a capacity of 5,000 seated spectators.
Maneno 10 ya mkenya chukua moja nenda zako [emoji116][emoji116]
Screenshot_2020-10-11-21-28-16.jpeg
 
Hawa wakenya bana baada ya kuona ile ya kigali ina capacity ya 10k na yao wameassume the same wajisifu tu.

Reality humo ndani wakiingia watu 2k tu hawapumui.. wanakufa kwa kukosa hewa.
Wameweka kunako Google wakasema inaingiza watu 5k ila reality ni 1k[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hawa wakenya bana baada ya kuona ile ya kigali ina capacity ya 10k na yao wameassume the same wajisifu tu.

Reality humo ndani wakiingia watu 2k tu hawapumui.. wanakufa kwa kukosa hewa.
Hile tent yenu hata watu hamsaini wanaezatoshea kweli? 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom