Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,434
Basi hata sisi tutafukuza Watanzania wanaouza nguo huku Nairobi.Wakenya hawaruhusiwi kununua madini Tanzania
Basi hata sisi tutafukuza Watanzania wanaouza nguo huku Nairobi.Wakenya hawaruhusiwi kununua madini Tanzania
Fukuzeni muone moto utakavyowachoma, umesahahu kuhusu ndege zenu tulivyozuia?, hatujaribiwi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basi hata sisi tutafukuza Watanzania wanaouza nguo huku Nairobi.
Jaguar alisema ukweli. Yaani ninyi mnataka kuja huku kuuza vitu vyenu na hamtaki sisi kununua madini huko kwenu? Huoni kama kuna ubaguzi hapo? Halafu najua mnawakubalia Wazungu waje huko Geita kununua dhahabu.Fukuzeni muone moto utakavyowachoma, umesahahu kuhusu ndege zenu tulivyozuia?, hatujaribiwi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnaruhusiwa kununua humanitarian supplies kama mahindi, mchele na vitunguu! Dhahabu si league yenyu!Jaguar alisema ukweli. Yaani ninyi mnataka kuja huku kuuza vitu vyenu na hamtaki sisi kununua madini huko kwenu? Huoni kama kuna ubaguzi hapo? Halafu najua mnawakubalia Wazungu waje huko Geita kununua dhahabu.
Hamkututhamini wala kutusaidia wakati tunapitia kipindi kigumu sana cha uchumi tulipobeba jukumu la kuzikomboa nchi za Africa kitendo kilichowakasirisha wazungu na kuamua kutuwekea vikwazo baridi ili uchumi wetu usambaratike, Kenya mlikua Mnakunywa Wines na wazungu, iweje sasa hivi mambo yetu yanaanza kupendeza mnataka kuja kushiriki matunda ya jasho letu. "If you were away during my struggle, don't expect to be around in my success"[emoji23][emoji23][emoji23]Jaguar alisema ukweli. Yaani ninyi mnataka kuja huku kuuza vitu vyenu na hamtaki sisi kununua madini huko kwenu? Huoni kama kuna ubaguzi hapo? Halafu najua mnawakubalia Wazungu waje huko Geita kununua dhahabu.
Inakuuma sio?Ina maana hujoni ni wachimbaji?na Geita huoni kunachimbwa nn?nikujibu Sasa hizo ni dhahabu,najua inakuuma Sana!Jibu swali. Anamaanisha nini akisema kilo 497? Ni kilo za nini? Maembe au Ndizi au dhahabu?
Hapa mtajitahidi sio ile maneno ya SGR Viaduct Tsavo! Litavutia kwa kweli!Hii 11km overpass itakuwa moto walaiView attachment 1594768
Sio hilo tu,tulikubaliana kwenye utalii kwamba Kenya unaweza kuja na gari zao wakachukua watalii TZ ,na Tanzania inaweza kwenda Kenya kuchukua watalii,lakini Sisi tuliwapiga marufuku kuja huku,Ila Sisi tulikua tunakuja kuchukua watalii huko,hilo halikuumi?Jaguar alisema ukweli. Yaani ninyi mnataka kuja huku kuuza vitu vyenu na hamtaki sisi kununua madini huko kwenu? Huoni kama kuna ubaguzi hapo? Halafu najua mnawakubalia Wazungu waje huko Geita kununua dhahabu.
Nawewe kuaga na akili muda mwingne alokwambia wakenya hawanunui madini nani? Wanaonunua kwa kufuata sheria na kulipa kodi wananunua tuu hakuna shida..Jaguar alisema ukweli. Yaani ninyi mnataka kuja huku kuuza vitu vyenu na hamtaki sisi kununua madini huko kwenu? Huoni kama kuna ubaguzi hapo? Halafu najua mnawakubalia Wazungu waje huko Geita kununua dhahabu.
Usilie jirani njooni tu ili mradi mfuate taratibu na kanuni za nchi ,Tz ni njema atakaye naaje.Jaguar alisema ukweli. Yaani ninyi mnataka kuja huku kuuza vitu vyenu na hamtaki sisi kununua madini huko kwenu? Huoni kama kuna ubaguzi hapo? Halafu najua mnawakubalia Wazungu waje huko Geita kununua dhahabu.
Nawewe kuaga na akili muda mwingne alokwambia wakenya hawanunui madini nani? Wanaonunua kwa kufuata sheria na kulipa kodi wananunua tuu hakuna shida..
Tatzo lenu mlizoea kuja kununua ki magendo
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Una license? Ukikamatwa zikataifishwa ukasekwa jela, wakenya wenzio watasema Tanzania tuna chuki na Kenya.Hata mimi basi nitakuja huko kununua dhahabu.
Una license? Ukikamatwa zikataifishwa ukasekwa jela, wakenya wenzio watasema Tanzania tuna chuki na Kenya.
LOL dhahabu ina policies zake, usifikiri ni biashara ya kujifanyia tu, kiufupi madini yote Tanzania yapo very strictly in policies ordaining their processesBasi hata sisi tutafukuza Watanzania wanaouza nguo huku Nairobi.
LOL dhahabu ina policies zake, usifikiri ni biashara ya kujifanyia tu, kiufupi madini yote Tanzania yapo very strictly in policies ordaining it's process