Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Msemaji mkuu wa serikali ni hovyo sana. Eti serikali imekusanya kilo 497 ya nini? Mbona hajaelezea ni kilo za nini zilizokusanywa?
Sio msemaji wa serikali huyo
Actually ni kilo za dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo, so last month billion 63 zimeingia mifukoni mwa wachimbaji wadogo

Kenya Kuna biashara ya kumuingizia wakenya wa kawaida kwenye County 1 Billion 63 ndani ya week 4? Ndio maana Tanzania Ina dollars millionaires wengi ukanda na inclusive economy
 
Sio msemaji wa serikali huyo
Actually ni kilo za dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo, so last month billion 63 zimeingia mifukoni mwa wachimbaji wadogo

Kenya Kuna biashara ya kumuingizia wakenya wa kawaida kwenye County 1 Billion 63 ndani ya week 4? Ndio maana Tanzania Ina dollars millionaires wengi ukanda na inclusive economy
Ni mradi mzuri. Serikali ndio inanunua hio dhahabu?
 
Sio msemaji wa serikali huyo
Actually ni kilo za dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo, so last month billion 63 zimeingia mifukoni mwa wachimbaji wadogo

Kenya Kuna biashara ya kumuingizia wakenya wa kawaida kwenye County 1 Billion 63 ndani ya week 4? Ndio maana Tanzania Ina dollars millionaires wengi ukanda na inclusive economy
Hehehehehe mkuu huwa unawaudhi sn Wakenya mana unawapiga directly wala huzunguki [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Naona mnapiga magoti na kuosha viombo na kupaka wamama cutex ili mupate kura kutoka kwa wananchi, hahaha
EjJqBKqWAAE6CQ9.jpeg
EjJqBXmXgAAtkQW.jpeg
 
Back
Top Bottom