Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yn ww yosef festo fala kweli, yn ichoboy anakuletea mapicha ya ajabu ma v8 ma range Rover ya polisi zen we unamletea utopolo, asa c bora ungekausha tu tujue haupo online [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hzo ni gari za serikali na wamefanya kuweka plates jomba[emoji23][emoji23]
Emu leta zilizoandikwa polisi tuone km ni za matumizi ya kila siku
 
tuoneshe basi hzo v8 tuzione na range pia tuone ili tucheke vzr[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] porojo nyingi alaf kwa ground tofaut huku kwetu v8 hazihesabiki manake zimejaa kibao na zile new model fortuner kibao zimezagaa
New model fortuner hzo si ndio gari zinazotumika na serikali za counties[emoji23][emoji23]

Kuna county pia nimeona wanatumia ranger
 
terrorism haina uhusiano na kuvaa sandels infront of anermy fire[emoji28][emoji28][emoji28]

mko na janga watu wanakufa ndani ya jengo,GSU na KDF wanafarakana nani wa muhimu kufanya kazi ile[emoji31][emoji31][emoji31][emoji31],wanatwangana risasi.
baafa ya KDF kuingia ndani wakati adui aliishafika somalia,wakaanza kuhepa na mikufu na saa za thamani,kumbe ilikuwa wagombanie kuingia ili wawahi masalia[emoji23][emoji23].RIP to inocent souls.

terrorists,lebels sio watu wa kucheka nao maana wana silaha.
Huna hamu na habari ya dusit kabisa[emoji23][emoji23]
 
unajua nyinyi ni wajinga mpaka mnachosha[emoji16][emoji16].

nikikuletea lenye maandishi polisi anarukia tawi jingine[emoji2][emoji2]kama inzi.
Lete v8 iliyoandikwa polisi km vile mmeandika hzo cruiser[emoji23][emoji23]
 
New model fortuner hzo si ndio gari zinazotumika na serikali za counties[emoji23][emoji23]

Kuna county pia nimeona wanatumia ranger
mbona v8 hatuzioni kwenu wakat huku zimejaaa kibao tuoneshe basi range tuone 😂😂😂😂😂
 
Lete v8 iliyoandikwa polisi km vile mmeandika hzo cruiser[emoji23][emoji23]
2B59F781-7EE2-4CDB-8CCB-BB3A9D8A43C3.jpeg
13AF6537-0A05-4DDD-83A1-828CCFF1D066.jpeg
940CE4A7-8AAB-4820-934A-1D99ECB75503.jpeg
 
mbona v8 hatuzioni kwenu wakat huku zimejaaa kibao tuoneshe basi range tuone [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilete hyo v8 ambayo imeandikwa polisi tuione[emoji23][emoji23][emoji23]

Angalia benz ya kanjo hzo[emoji116][emoji116][emoji116]
images.jpeg-26.jpg
 
Back
Top Bottom