komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Inategemea ni v8 ya aina gani hyo inayomilikiwa na watu wa kawaidaV8 zinatumika na wakuu wa vitengo kenye department za serikali karibia zote.
V8 kwa sasa zimekuwa gari za kawaida sana TZ. Barabarani yapo mengi tu tena watu wa uswahilini kabisa wanamilk.
Nilikuwa na mkenya mmoja alishangaa sana kuona V8 zipo mpaka uswahili ndani ndani kabisa na watu wanazimilki.