Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani hizo PT kwenye plate number za hizo gari zilizo postiwa zina maana gani?

PT ni POLISI TANZANIA acha ujuaji wa kishamba.
Bro we huwezi nambia kuhusu hyo sekta, najua kila kitu vile serikali hucheza na plates..
Km hakuna v8 iliyoandikwa polisi tulia tu
 
hahaha peogeot nayo ni gari u must be serious, hahha range huku ni kitu cha kawaida sana
08823D88-AA22-462E-805A-40864966575B.jpeg
 
yani hawa hata mawazo yao yakimaskini kabisa [emoji23][emoji23][emoji23] hawez kuamini kama v8 huku zinatumiwa na jeshi la polisi na zimejaa kila nchi wao mawazo yao v8 inatumiwa na uhuru kenyatta
Kenya pia V8 na range hutumiwa na polisi, au wafikiria hawatumii.

Hzo ni gari za officials, huwezi ikuta tandale inatafuta inatafuta wahalifu
 
Ile siku utaleta hta peugeot iliyoandikwa polisi nitag[emoji23][emoji23][emoji23]
Unaleta plates hapa[emoji122][emoji122][emoji122][emoji382][emoji382]
We don't use Peugeot in our coutry.

Zaidi sana wakati wa Kikwete zilikuwa zinatumika BMW wenye Escort wakati wa mkapa zilikuwa zinatumika Benz.

So siyo kila make tunatumia. By the way acha utoto.
 
V8 zinatumika na wakuu wa vitengo kenye department za serikali karibia zote.

V8 kwa sasa zimekuwa gari za kawaida sana TZ. Barabarani yapo mengi tu tena watu wa uswahilini kabisa wanamiliki.

Nilikuwa na mkenya mmoja alishangaa sana kuona V8 zipo mpaka uswahili ndani ndani kabisa na watu wanazimilki.
 
Hyo ni VIP escort jomba[emoji23][emoji23][emoji23]
Huoni nyuma kuna kuna ingine ya white
Mzee Tanzania V8 ndio gari kama official hivi ya serikali, haijalishi kitengo but mostly mpaka kwenye taasisi za kawaida huwa zinamiliki V8, nilishangaa kuona Kenya Rais anatembelea Prado

Hizi V8 zinatolewa kwenye taasisi ya serikali ambayo ingekuwa ni Kenya hii taasisi ingepewa Rav4

Na hii ni mpaka mitaani, ni kawaida kuzikuta hata huko uswahilini
EUxK2s7WsAA9sWX.jpg
EW16jlcXkAE9mTK.jpg
 
Back
Top Bottom