Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Prove it.
Kila nchi yenye international flight ina at least one radar! ukiacha hyao kuna regional initiatives!

PPT 4.2 - ATNS presentation GDCA6 (3)-8_page-0001.jpg


Kuna kitu kinaitwa Very Small Aperture Terminal Communication Equipment (VSAT) incase radar zina-fail na mitambo yake ipo chini ya satelite za SADC

PPT 4.2 - ATNS presentation GDCA6 (3)-14_page-0001.jpg


Ukiacha radar kuna Air Travel Navigation System by South Africa satelite ambapo kwa Indian ocean ina offer air navigation services alias Air traffic services toka visiwa vya St Helen kwenye mitambo yao! Angalia coverage ya ATNS kwenye ramani!


PPT 4.2 - ATNS presentation GDCA6 (3)-7_page-0001.jpg
 
Ukiacha radar kuna Air Travel Navigation System by SADC satelite ambayo headquarters zake zipo South Africa! Angalia coverage ya ATNS kwenye ramani!

View attachment 1591130
Kama hizi zinasaidia sidhani kama nchi zingelagharamika kujenga radar zao, ATNS haina direct communication na rubani, kwahiyo haina msaada wowote katika kuhepusha ajali au kuongoza ndege zisigonga wakati wa kupaa na kutua viwanjani.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kama hizi zinasaidia sidhani kama nchi zingelagharamika kujenga radar zao, ATNS haina direct communication na rubani, kwahiyo haina msaada wowote katika kuhepusha ajali au kuongoza ndege zisigonga wakati wa kupaa na kutua viwanjani.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
sawa mjuaji! umetaka alternative/back up nimekupa!
 
hii nchi itabakia kua wenye pesa ni politicians tu👇👇👇😂😂😂

 
atoe wapi video zenyewe zimepigwa makeup ya nguvu ila nenda nairobi ukaingalie kwa macho unaeza lia 😂😂😂😂
Consolation vibe, hard facts destroyed your skewed, false projections, mengine ni empty blah blah, zoea ukweli upone machungu na wivu 😂 😂 😂
 
Kwn hamna sehemu nyingine za kupiga picha? Mbn huwa mnaleta picha hii hii tu.
Anything new in Dar? Same common area that is developed., nakuambia Dar is slum ukatae ukubali yake ni kwisha, finished, the rest ni kelele za chura, video clips and drone views condemned you back to your place. Sasa ni kujikweza tu na kupingana tu, hapa hakuna anaye waweza dunia yote. 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Am liking this,😂😂
 
Swali moja dogo sana, backup ya radar ya DSM, au ya KIA au Mwanza zimejengwa wapi?, ikitokea hitilafu katika hizi Radar ambazo hakuna backup itakuaje wakati tayari ndege imesharuka?

Nimeshakueleza kuwa kuna RADAR za aina mbili: civilian use na za kijeshi (air defense) lakini zote zinaweza kufanya kazi ile basic ya ku-identify vitu angani, na actually RADAR za jeshi zina nguvu zaidi ya RADAR za civilian use kwanza hula zina-dua use (defense mode and civilian mode) )na pia zinafanya mambo mengi zaidi ya RADAR za civilian, mfano target acquisition etc.

Kuna RADAR ambazo ni Fixed na nyingine ni mobile (ziko kwenye magari makubwa).

Nchi yetu inazo RADAR za kijeshi zinako-cover anga letu lote pamoja na maeneo ya mipakani ndani ya nchi za jirani zinazotuzunguka halafu pia tunazo hizo RADAR za civilian use.

The International Civil Aviation Organisation (ICAO) inazo taratibu zake ambapo nchi za jirani huwa zinasaidiana kwenye mambo ya RADAR za civilian kwa hio za kwetu zikiwa mbovu nchi jirani inaweza kusaidia kwa kipindi fulani mpaka mambo yenu yakae sawa.

Alternatively, hitilafu kwenye RADAR za civilian hizo ulizotaja kwa wakati mmoja (which is next to impossible), mobile backup RADAR inaweza kuwa-deployed kwa kipindi hicho au jeshi linaweza kutoa support kwa RADAR zao ili kuongoza ndege zitakazokuwa zinapita katika anga letu mpaka RADAR za civilian zitakaporudi hewani tena.

Tatizo la RADAR za kijeshi (air defense) ni kwamba hua hazitambuliki na ICAO kwahio kama civilian RADAR zenu zikiwa mbovu wao ICAO watasema nchi yenu haina RADAR hata kama za jeshi zipo na zinafanya kazi.

FYI, Tanzania ndio nchi yenye the most extensive air defence system in the region, by design, Mwalimu alichukua approach ya kujilinda zaidi kuliko kushambulia.

Mambo mengine ni classified bro.
[emoji14] [emoji14] [emoji14]

You nailed it🙂
 
hii nchi itabakia kua wenye pesa ni politicians tu👇👇👇😂😂😂


Ila ni kama Ruto anaonewa hivi unafikiri kwa hali ilivyo Ruto anaweza kupata tender ya kujenga electric poles ama ata ile ya ku-supply mask za COVID19? kweli Matiangi ataidhinisha tender kama hizi?
 
Back
Top Bottom