wacha hoja zisizo na mashiko TAZARA ilipokuwa inajengwa iligawanywa kwa vipande na ilianzia hinterlands! Sioni mantiki ya kushinda siku ukibishana kwanini phase III inaanzia Mwanza na si Makutupora! U sound short-sighted kutoona kwamba technicalities can be a reason than ur emotions! halafu nakushaangaa ukibisha kuhusu Isaka-Kigali wakati financial modalities ni tofauti na Dar-Mwanza! Ule ni mradi kati ya Rwanda na Tanzania mfadhili akiwa AfDB huwezi kumpangia Kagame uanze kujenga Dar-Mwanza! miradi hii miwili ipo tofauti! Tumia maarifa kwenye kuanzisha arguments zako! Ndo maana nilikulenga asubuhi! Una uchokonozi usiojenga!