Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,731
- 107,175
Update: JNHPP
MY TAKE
Hii maneno hamna jirani anathubutu kuongelea!
MY TAKE
Hii maneno hamna jirani anathubutu kuongelea!
Gari linalotumika na ma Al shabaab,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ingekua V8 ama Range pengine ningepiga hesabu., hiyo ni kama zile model za polisi huku za kukimbizana na walevi wa pombe haramu vijijini[emoji23][emoji23][emoji23]
Aaah wapi!, hilo gari pesa yake inaweza kujenga nyumba 5 nzuri kwa wakazi wa Kibera. Hivi hujasikia ule msemo kwamba "Thamani ya "Cruser" huongezeka kadri umri unavyozidi kuongezeka?![]()
![]()
![]()
huoni shida kupenda kitu sawa na mtoto wa kike[emoji2][emoji2][emoji2].
hiyo gari hata kwa kuitizama tu anayemiliki alikuwa na option kibao,ila sababu ni mwanaume akaiona hiyo.
kwa mwanaume unapotaja land cruiser huwezi iacha hii ukataja v8,range rover ukaiacha defender utakuwa na kasoro.
Hawezi pata hiyo bahati ya kurudi akiwa hai, hawana muda huo wa kupoteza, kwao ni mwendo wa "Copper"tu.ataitishwa ngeta na wakina Kamau na Maina, aje kusimulia! Mimi nikiwa kwao sijitambulishi kama Mtanzania! Mimi huwa mtu wa Mombasa au Pwani nikiwa kule!
Kitu ambacho kinatumiwa na polisi huwa "ladha" yake inaisha, negative perception towards police force, inabeba maiti pale wanapopiga majambazi risasi, kubeba kwavunja sheria, sana sana watu wa kusafiri masafa marefu na kampuni za tours ndio wanazipenda. Mie wacha nibaki kwa V8.,
😅😅😅 Wakenya Wana ganzi na Jubilee!
Hii kitu na kupoteza bomba la Uganda hawatoyasahau maishani mwao [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28] Wakenya Wana ganzi na Jubilee!
Heshima yetu inajulikana ukanda huu wote, Tanzania leo ikiondoka watu watakufa njaa
CC. Tony254
washaanza kuchapana wakat uchaguzi ni 2022[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]