Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sio bongo pekee bali E&C of Africa 3level ipo hyo tu na ndiyo maana tunaambiwa EA tupo nyuma bado, so pambane tuipeleke EA kimataifa na co kujifariji kwa vibarabara ambavyo hata Somalia vipo [emoji3][emoji3]
Tatizo lao hawapendi kukubali mapungufu yao hawa jamaa.
 
uktoka apo ukapige kitu cha zege 😁😁 sjui kama utarudi kwenu wewe
ntamuomba icho akupitishe na pale kimboka kwe huduma pendwa..😁😁😁😁
I cant wait!, am upbeat😂😂😂😂
 
Mumeliona lile" Land Cruiser" lake mumeanza kulipigia mahesabu sio?[emoji23][emoji23][emoji23]
Gari linalotumika na ma Al shabaab,😂😂😂😂 ingekua V8 ama Range pengine ningepiga hesabu., hiyo ni kama zile model za polisi huku za kukimbizana na walevi wa pombe haramu vijijini😂😂😂
 
Gari linalotumika na ma Al shabaab,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ingekua V8 ama Range pengine ningepiga hesabu., hiyo ni kama zile model za polisi huku za kukimbizana na walevi wa pombe haramu vijijini[emoji23][emoji23][emoji23]
Aaah wapi!, hilo gari pesa yake inaweza kujenga nyumba 5 nzuri kwa wakazi wa Kibera. Hivi hujasikia ule msemo kwamba "Thamani ya "Cruser" huongezeka kadri umri unavyozidi kuongezeka?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Gari linalotumika na ma Al shabaab,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ingekua V8 ama Range pengine ningepiga hesabu., hiyo ni kama zile model za polisi huku za kukimbizana na walevi wa pombe haramu vijijini[emoji23][emoji23][emoji23]
Actually siri ya Alshabaab kuwachapa KDF ni kwasababu wanatumia hizo Cruser [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Gari linalotumika na ma Al shabaab,😂😂😂😂 ingekua V8 ama Range pengine ningepiga hesabu., hiyo ni kama zile model za polisi huku za kukimbizana na walevi wa pombe haramu vijijini😂😂😂
Baada ya kuwa amusha saa hii hiyo kazi mnaiweza kweli kweli...tu..ila baada
Gari linalotumika na ma Al shabaab,😂😂😂😂 ingekua V8 ama Range pengine ningepiga hesabu., hiyo ni kama zile model za polisi huku za kukimbizana na walevi wa pombe haramu vijijini😂😂😂
hahah na baada ya kuijua kazi baada ya "wakora" kuvamia hapo naii na kuwafundisha hio kazi saiv mnatamba kweli kweli...ila kawaida soko na modifications lazima mje south 🤣 🤣
 
Kuwa makini sana na wakenya, hata kama mtafahamiana na kuwa marafiki. Usikubali kwenda kumtembelea Kenya, ukienda Kenya asijue kama upo Kenya, nadhani umenisoma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ataitishiwa ngeta na wakina Kamau na Maina, aje kusimulia! Mimi nikiwa kwao sijitambulishi kama Mtanzania! Mimi huwa mtu wa Mombasa au Pwani nikiwa kule!
 
Gari linalotumika na ma Al shabaab,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ingekua V8 ama Range pengine ningepiga hesabu., hiyo ni kama zile model za polisi huku za kukimbizana na walevi wa pombe haramu vijijini[emoji23][emoji23][emoji23]
duuh......!!!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kweli nyie wakenya ni chenga mlevi unamkimbiza kwa gari.......tena kijijini
 
Sijasema itajengwa nyingine mwanza ila nimesema lazima iwe na back up, inaweza kuwa dodoma, tabora, kigoma au mza.
Hatuwezi tukawa na moja tu siku ikiwaka moto treni hazitembei
Haiwezekani the whole track kuwa na operating center moja tu!


Telecommunication & Signaling

Trains operations will use European Train Control System Level 2 to ensure safety and efficacy in SGR operation activities at the Main Control Room at Dar es Salaam main Station.
Mwanzo | TRC


Telecommunication & Signalling

Trains operations will use European Train Control System Level 2 to ensure safety and efficacy in SGR operation activities at the Main Control Room at Dar es Salaam main Station.
Mwanzo | TRC


☝Hapa wanasema main operating center! hapo inamaanisha backup centers zitakuwapo! i am pretty sure Dodoma will have another one n Mwanza too
 
Aaah wapi!, hilo gari pesa yake inaweza kujenga nyumba 5 nzuri kwa wakazi wa Kibera. Hivi hujasikia ule msemo kwamba "Thamani ya "Cruser" huongezeka kadri umri unavyozidi kuongezeka?[emoji23][emoji23][emoji23]

Kenya police landcruicers, ya kufukuza walevi wa pombe haramu mitaani na vijijini., 😂😂 Google uzione..
 
duuh......!!!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kweli nyie wakenya ni chenga mlevi unamkimbiza kwa gari.......tena kijijini
😂😂😂walevi wakiona hiyo model ya landcruiser pombe inaisha kwa kichwa, wanachana mbuga utadhani ni mwana riadha., ata kama ni gari binafsi, pita nayo vitongoji karibu na base za pombe haramu, watu hutoroka kichizi!😂😂😂 na ile machine haikwami, inaweza vuka mtaro., ni strong and 4wheel drive.
 
Back
Top Bottom