Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂😂😂😂 a drowning man clutching at straws! Umeangalia video ya Eldoret ama Nakuru residential? Wachana na Mombasa kabisaa!usiaibike😂😂😂. Kiambu na Machakos tu what they have in that line Dar will sweat to level😂😂😂 T
siku ukipata let me know 😂😂😂 otherwise sindano ziko pala pale
 
Barabara yenye Flyovers na Interchange nyingin Nairobi nadhani ni hii, Kabda ya hii hiyo miaka kumi ni ipi?
emoji23.png


View attachment 1590084
[/QUOTE

Hii ni Thika superhighway?. What abouts Globe?., Outer ring?, along Mombasa road?, Southern na Eastern bypasses?., ama unataka niwatese na video?😂😂😂😂, endelea kujiliwaza.,
tapatalk_1592143953566.jpeg
tapatalk_1592143962552.jpeg
 
umejuaje tunaumizwa na hio three level interchange? ilhali ilikua namkosoa mwezako asifikirie..three level interchange iko bongo peke yake
kwenu haipo kwa sasa tulieni tu kueni wapole😂😂😂
 
Nimemsikiliza kadogosa sana ila kiuhalisia kukikorofisha dar treni hazitembei.
Umetoa mfano wa matangazo ya redio ambao ni mzuri.
Huwa tunasikiliza matangazo kutoka kituo cha dar tbc but bado kuna vituo mfano mza, Dom, Arusha wanaweza rusha matangazo Toka huko.
But kwa ufupi mara nyingi control centre ufanyaji kazi wake unakaribia kufanana na radar za ndege.
Ndio sababu kila eneo moja la radar halipaswi kuhudumiwa na radar mbili tofauti, Kama kungekuwa na uwezekano wa Radar moja kufika maeneo yote Tanzania, tusingejenga Radar 4, tungeweka moja tu.

Kwa upande wa SGR kwasababu inatumia fiber, kuna sababu gani ya kujenga Control centres nyingi wakati moja tu inafikia trains zote popote pale nchini?.

Kuhusu vituo vya redio, mfano uliotoa hauendani na maelezo yako, Kila redio inarusha matangazo yake kutoka katika kituo kimoja tu, TBC lazima wawe na center moja ya kurusha matangazo, ITV, Clouds au Wasafi, kila moja lazima iwe na Centre moja tu.

Kama kutajengwa reli nyengine ya SGR, nayo itakua na Control Center yake, wanaweza kuijenga mkoa wowote watakaochagua, lakini watakua na Control Centre moja tu.
 
Ndio sababu kila eneo moja la radar halipaswi kuhudumiwa na radar mbili tofauti, Kama kungekuwa na uwezekano wa Radar moja kufika maeneo yote Tanzania, tusingejenga Radar 4, tungeweka moja tu.

Kwa upande wa SGR kwasababu inatumia fiber, kuna sababu gani ya kujenga Control centres nyingi wakati moja tu inafikia trains zote popote pale nchini?.

Kuhusu vituo vya redio, mfano uliotoa hauendani na maelezo yako, Kila redio inarusha matangazo yake kutoka katika kituo kimoja tu, TBC lazima wawe na center moja ya kurusha matangazo, ITV, Clouds au Wasafi, kila moja lazima iwe na Centre moja tu.

Kama kutajengwa reli nyengine ya SGR, nayo itakua na Control Center yake, wanaweza kuijenga mkoa wowote watakaochagua, lakini watakua na Control Centre moja tu.
control center inajengwa dar es salaam ndio itakua main bro according to kadogosa
 
Ndio sababu kila eneo moja la radar halipaswi kuhudumiwa na radar mbili tofauti, Kama kungekuwa na uwezekano wa Radar moja kufika maeneo yote Tanzania, tusingejenga Radar 4, tungeweka moja tu.

Kwa upande wa SGR kwasababu inatumia fiber, kuna sababu gani ya kujenga Control centres nyingi wakati moja tu inafikia trains zote popote pale nchini?.

Kuhusu vituo vya redio, mfano uliotoa hauendani na maelezo yako, Kila redio inarusha matangazo yake kutoka katika kituo kimoja tu, TBC lazima wawe na center moja ya kurusha matangazo, ITV, Clouds au Wasafi, kila moja lazima iwe na Centre moja tu.

Kama kutajengwa reli nyengine ya SGR, nayo itakua na Control Center yake, wanaweza kuijenga mkoa wowote watakaochagua, lakini watakua na Control Centre moja tu.
wacha hoja zisizo na mashiko TAZARA ilipokuwa inajengwa iligawanywa kwa vipande na ilianzia hinterlands! Sioni mantiki ya kushinda siku ukibishana kwanini phase III inaanzia Mwanza na si Makutupora! U sound short-sighted kutoona kwamba technicalities can be a reason than ur emotions! halafu nakushaangaa ukibisha kuhusu Isaka-Kigali wakati financial modalities ni tofauti na Dar-Mwanza! Ule ni mradi kati ya Rwanda na Tanzania mfadhili akiwa AfDB huwezi kumpangia Kagame uanze kujenga Dar-Mwanza! miradi hii miwili ipo tofauti! Tumia maarifa kwenye kuanzisha arguments zako! Ndo maana nilikulenga asubuhi! Una uchokonozi usiojenga!
 
Back
Top Bottom