Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Hivi kile cha Mengi na chenyewe kipo? Dah yule mzee alikua anafyatua viwanda kila leo mara cha magari, cha electronics, cha cement, cha pharmaceuticals lakini sivisikii tena, sijui ndio alikua anaagaAiseh nimefurahi sana kuskia hivi..pwani maeneo ya kibaha kuna viwanda kama vitano vipya vya madawa
Kairuki
Vista
Hester bio...cha wanyama
Na vingine viwili nimesahau majina...tutapunguza import za madawa