Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Three level interchange tulijenga 10 yrs ago. It`s not something new to us

Pangani Interchange (Nairobi) | bridge, highway interchange / exit
Kenya / Nairobi / Nairobi

bridge, highway interchange / exit




This comprises of a three-level road interchange comprising of an overpass from pangani towards Forest road, and a tunnel from Thika road, crossing over to surface again on Muranga road, and branching midway to surface also on Forest road. Service lanes are on ground level serving multi-directional roads.


Nearby cities:
Coordinates:
1°16'0"S 36°50'3"E
Huuu uchafu wa cave ndio three level [emoji23][emoji23][emoji23]
 
😀 Hii inaonesha ni jinsi gani hawa watu wanaonekana wazezeta tangu enzi za mababu zetu

Misheni town kibongo bongo unaweza kuta ana briefcase iko na mihuru na paper fake.. ila misheni town hapo nairobi unakuta briefcase iko na mawe ndani.... unakuta mtu amechomekea ila ameparara.. kanyonga tai ila kola ya shati yote imechanika haifai..huyo ndio misheni town wa nairobi....😂😂😂
 
Misheni town kibongo bongo unaweza kuta ana briefcase iko na mihuru na paper fake.. ila misheni town hapo nairobi unakuta briefcase iko na mawe ndani.... unakuta mtu amechomekea ila ameparara.. kanyonga tai ila kola ya shati yote imechanika haifai..huyo ndio misheni town wa nairobi....😂😂😂
Wanaishi maisha feki sana
 
Misheni town kibongo bongo unaweza kuta ana briefcase iko na mihuru na paper fake.. ila misheni town hapo nairobi unakuta briefcase iko na mawe ndani.... unakuta mtu amechomekea ila ameparara.. kanyonga tai ila kola ya shati yote imechanika haifai..huyo ndio misheni town wa nairobi....[emoji23][emoji23][emoji23]
Minango ya leo ni next level [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wanaishi maisha feki sana
Wana umasikini uliokithiri asee... on serious note kenya hali ya uchumi ni mbaya sana. Kuna gap kubwa sana kati la asienacho na alienacho.

Minango ya leo ni next level [emoji3][emoji3][emoji3]
Hao jamaa ni washamba sana mkuu, wewe fatilia tu maisha yao utaelewa.
 
Wana umasikini uliokithiri asee... on serious note kenya hali ya uchumi ni mbaya sana. Kuna gap kubwa sana kati la asienacho na alienacho.


Hao jamaa ni washamba sana mkuu, wewe fatilia tu maisha yao utaelewa.
Wakenya ni washamba mno wala haihitaji degree kugundua hilo, tangu nimekuwa humu ndani ndiyo nmewajua tabia zao halisi aisee hawa watu bado sana kwakweli.
 
Wakenya ni washamba mno wala haihitaji degree kugundua hilo, tangu nimekuwa humu ndani ndiyo nmewajua tabia zao halisi aisee hawa watu bado sana kwakweli.

Yani mkenya akishakuja Bongo au akiwa na marafiki kutoka Bongo ndio ana anza kuwa mjanja yani. Kuanzia kuvaa, kuongea na kupiga dili za maana na kupata chapaa.. tofauti na hapo kupata hela nairobi labda awe ametokea familia ya kitajiri..ila wengi wamejichanganya bongo na wanapata life poa tu ambalo kwa nairobi wasingeweza kulipata kamwe.
 
Back
Top Bottom