Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Will Ethiopia force Egypt to carry out the first strike of the African water wars?
Soma hiyo ndio utajua nani ni nani kati ya Ethiopia vs Egypt kijeshi.
Mkuu kumbuka Nguvu za kijeshi sio kigezo pekee cha ushindi katika vita,na pia sio kigezo saana katika kumzuia adui yake kuyalinda Maslahi yake...mfano mziri ni Vita vya Iran na Iraq,Vietnam na US,,na km ni kutishiana angalia N KOREA vs US na hata Rwanda na TZ enzi za JK.........Maslahi ya Ethiopia kwenye huo mto ni makubwa kuliko hivo vita unavyowaza......aiingii akilini mradi ulioigharimu Nchi $7bilion usifanyiwe kazi.
 
tuna international airports zaid ya tatu afu nchi isiwe international aviation hub in EA? wataisoma namba
1. Julius Nyerere International Airport- Dar
2. Kilimanjaro International Airport- Ki’njaro
3. Abeid Aman Karume International Airport- Zanzibar
4. Songwe International Airport- Mbeya
5. Mwanza International Airport- Mwanza (U/C)
6. Msalato International Airport- Dodoma (U/C)

tukumbuke Tanzania imezungukwa na nchi nane
Hub
 
Wao wana industries zinazotumia umeme kwa wingi. Ilikuwa ujinga wao kutoinvest katika kuzalisha umeme. Ila nyie ambao hamtumii umeme kwa wingi mjichunge msije mkainvest kwa mradi ambao utapoteza umeme na kuleta hasara kwa kodi ya wananchi. 2,000 MW sio kidogo. Miaka 59 baada ya TZ kupata uhuru bado mnatumia umeme wa 1,300 MW. Hio 2115 MW ni kupoteza pesa bure
Ndio maana Kenya vitu vingi mnafeli kumbe hivyo ndio style yenu ya kuwaza hahahaaa... Au hujui kuna sgr ni ya umeme na vwanda vya Kati vnamea ka uyoga
 
Huyo jamaa hastahili hata kumjibu ndio sababu ninampuuza, na wewe ninakushauri ili kulinda heshima yako uliyoijenga kwa muda mrefu, wacha kuzungumza vitu usivyokua na ufahamu navyo, ninafuatilia jinsi unavyozungumzia mambo ya umeme, ninakushangaa ila kwasababu ninakuheshimu sana, ninajizuia kukujibu kwasababu nitakufedhehesha, ila ukiniruhusu nitafanya hivyo.
Kwenye mjadala bora sijakutusi na nimechangia kwa heshima basi sitegemei wewe unitusi au kunikosea heshima. Sio lazima tukubaliane kwa kila jambo. Wacha kila mtu atoea maoni yake, mwenye atashawishi umati wa watu ndiye ameshinda. Lakini sitafeli kutoa maoni yangu eti kwa sababu yanakinzana na yako. Hapa sote tumekuja kujifunza. Wewe unaposema kuwa Kenya ni failed state hamna Mkenya anayekutishia. Unapotoa listi ya maovu ya Kenya kulingana na wewe, corruption, tribalism n.k, hakuna mtu anayekutisha. Tunakupuuza tu. Sasa wewe puuza tu kama hufurahii nilichoandika au uchangie kwa kupinga kama Watanzania wengine. Kwa sasa Mtanzania mtz one ambaye ni mwerevu kweli ila ameshindwa kuniconvince kuwa TZ ina uwezo wa kuutumia umeme huo au kuuexport wote ukaisha.
 
Mkuu kumbuka Nguvu za kijeshi sio kigezo pekee cha ushindi katika vita,na pia sio kigezo saana katika kumzuia adui yake kuyalinda Maslahi yake...mfano mziri ni Vita vya Iran na Iraq,Vietnam na US,,na km ni kutishiana angalia N KOREA vs US na hata Rwanda na TZ enzi za JK.........Maslahi ya Ethiopia kwenye huo mto ni makubwa kuliko hivo vita unavyowaza......aiingii akilini mradi ulioigharimu Nchi $7bilion usifanyiwe kazi.
Mkuu mbona sikuelewi?, inaonekana hujafuatilia huu mjadala kwa urefu.

1)Kila mtu ana maslahi yake katika huu mto, Ethiopia anataka umeme, Egypt anataka chakula na kazi kwa watu wake, nani mwenye maslahi muhimu zaidi?

2)Ethiopia alipaswa kabla ya kujenga ashauriane na wenzake kukubaliana jinsi ya kuzuia athari kwa majirani, hakufanya hivyo yeye alijali maslahi yake tu, haijalishi hata kama angejenga la $20B, hiyo sio sababu ya kuathiri uchumi na maisha ya wengine kwa sababu ya $7B.

3)Hapa hakuna vita vitakavyotokea, kitakachofanyika ni kulivunja hili bwawa kutokea mbali ili lisifanye kazi kwa kurusha ndege na cruse missiles kutokea mbali.
 
Mkuu mbona sikuelewi?, inaonekana hujafuatilia huu mjadala kwa urefu.

1)Kila mtu ana maslahi yake katika huu mto, Ethiopia anataka umeme, Egypt anataka chakula na kazi kwa watu wake, nani mwenye maslahi muhimu zaidi?

2)Ethiopia alipaswa kabla ya kujenga ashauriane na wenzake kukubaliana jinsi ya kuzuia athari kwa majirani, hakufanya hivyo yeye alijali maslahi yake tu, haijalishi hata kama angejenga la $20B, hiyo sio sababu ya kuathiri uchumi na maisha ya wengine kwa sababu ya $7B.

3)Hapa hakuna vita vitakavyotokea, kitakachofanyika ni kulivunja hili bwawa kutokea mbali ili lisifanye kazi kwa kurusha ndege na cruse missiles kutokea mbali.
Hiyo si ni vita tayari
 
Kwenye mjadala bora sijakutusi na nimechangia kwa heshima basi sitegemei wewe unitusi au kunikosea heshima. Sio lazima tukubaliane kwa kila jambo. Wacha kila mtu atoea maoni yake, mwenye atashawishi umati wa watu ndiye ameshinda. Lakini sitafeli kutoa maoni yangu eti kwa sababu yanakinzana na yako. Hapa sote tumekuja kujifunza. Wewe unaposema kuwa Kenya ni failed state hamna Mkenya anayekutishia. Unapotoa listi ya maovu ya Kenya kulingana na wewe, corruption, tribalism n.k, hakuna mtu anayekutisha. Tunakupuuza tu. Sasa wewe puuza tu kama hufurahii nilichoandika au uchangie kwa kupinga kama Watanzania wengine. Kwa sasa Mtanzania mtz one ambaye ni mwerevu kweli ila ameshindwa kuniconvince kuwa TZ ina uwezo wa kuutumia umeme huo au kuuexport wote ukaisha.
Swala la Matumizi ya huu umeme ni swala la kuwa na taarifa na sio werevu. Zegereni industrial hub ina zaidi ya viwanda vikubwa nane ambavyo ujenzi umesimama kupisha juhudi za serikali kupeleka umeme wa kutosha.

Kamal Industrial Estate Bagamoyo haijafikia hata 20pc umeme haujasosheleza... Lengo la serikali ni kuwa na maeneo ya viwanda vya msingi kila wilaya nchini... Kusaidia kuchakata raw materials kutoka kwa wakulima, ili kupunguza upotevu unaotokana na masoko kuwa mbali.

Kuna upanuzi wa SGR kufika Rwanda na burundi kote huku umeme utahitajika.. lakini Tanzania tunataka kujipambanua kama manufacturing hub ya Afrika na ulimwengu hapo baadae.. kuwa na umeme wa kutosha ni swala nyeti katika safari yetu.

Kupanga ni kuiandaa njia ya kuielekeza kesho yetu. Its all built on hope. And as if now we are more hopeful than ever that we will make it to the promised Land.

Karibu Taifa Kuu na Teule la Tanzania.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye mjadala bora sijakutusi na nimechangia kwa heshima basi sitegemei wewe unitusi au kunikosea heshima. Sio lazima tukubaliane kwa kila jambo. Wacha kila mtu atoea maoni yake, mwenye atashawishi umati wa watu ndiye ameshinda. Lakini sitafeli kutoa maoni yangu eti kwa sababu yanakinzana na yako. Hapa sote tumekuja kujifunza. Wewe unaposema kuwa Kenya ni failed state hamna Mkenya anayekutishia. Unapotoa listi ya maovu ya Kenya kulingana na wewe, corruption, tribalism n.k, hakuna mtu anayekutisha. Tunakupuuza tu. Sasa wewe puuza tu kama hufurahii nilichoandika au uchangie kwa kupinga kama Watanzania wengine. Kwa sasa Mtanzania mtz one ambaye ni mwerevu kweli ila ameshindwa kuniconvince kuwa TZ ina uwezo wa kuutumia umeme huo au kuuexport wote ukaisha.
Ni jambo la kuchekesha na kusikitisha sana kwa mtu anayeshangaa kwa Tanzania kuzalisha umeme wa ziada tena wa bei nafuu. Umeme ni "Consumable goods", kama ilivyo chakula. Tanzania tunazalisha tani 16M kwa mwaka wakati mahitaji yetu ni tani 13M, na bado kila siku tunaongeza bidii ya kuzalisha chakula kingi zaidi, mbona hamjiulizi katika hilo?.

Nchi zote zinazotuzunguka na hata ambazo hazituzunguki Kama Zimbabwe na Namibia zina mahitaji makubwa sana ya Chakula, wote wanakuja kununua chakula.

Nilisema ninaweza kukudhalilisha sio kukutusi, kukudhalilisha ni pale nitakapoeleza kitu kitakachoonyesha kwamba wewe kwa werevu wako wote kumbe hujui vitu vya msingi kabisa.

Siamini kama wewe hujui kwamba, sasa hivi nchi zote toka South Africa hadi Ethiopia zinaunganishwa kwa njia kubwa sana ya umeme, kwa huku Tanzania umeshafika Singida unakuja Kenya, na ninyi Kenya umeshakaribia Namanga na mnaendelea hadi Ethiopia.

Lengo la huu muunganiko ni kwamba, kila nchi itakua inaingiza umeme wake wa ziada kwa ajili ya kuwauzia wenye upungufu, na kuchukua. Kiukweli, nchi nyingi sana zina upungufu wa umeme, hasa umeme wa bei nafuu. South Afrika inaongoza katika kuhitaji umeme wa ziada.

Hivi unategeme Kama Tanzania tutauza umeme kwa $5cent wakati Kenya umeme wenu ni $13cent mtaacha kuchukua wa Tanzania?.
 
Hiyo si ni vita tayari
Israel amekua akipiga maeneo mbali mbali ndani ya Syria anayohisi ni hatari kwa usalama wake lakini hakuna vita kati ya Israel na Syria.

Miaka ya nyuma Israeli ilishambulia na kuviharibu vinu vya Nuclear ndani ya Iran, lakini hakuna Vita vilivyotokea.

Juzijuzi Iran ilizishambulia na kuziharibu kambi za kijeshi za Marekani zilizopo ndani ya Iraq kwa kurusha makombora kutokea Iran lakini hakuna vita vilivyotokea, hivyo ndivyo itakavyokua kwa Ethiopia na Egypt.
 
Mkuu mbona sikuelewi?, inaonekana hujafuatilia huu mjadala kwa urefu.

1)Kila mtu ana maslahi yake katika huu mto, Ethiopia anataka umeme, Egypt anataka chakula na kazi kwa watu wake, nani mwenye maslahi muhimu zaidi?

2)Ethiopia alipaswa kabla ya kujenga ashauriane na wenzake kukubaliana jinsi ya kuzuia athari kwa majirani, hakufanya hivyo yeye alijali maslahi yake tu, haijalishi hata kama angejenga la $20B, hiyo sio sababu ya kuathiri uchumi na maisha ya wengine kwa sababu ya $7B.

3)Hapa hakuna vita vitakavyotokea, kitakachofanyika ni kulivunja hili bwawa kutokea mbali ili lisifanye kazi kwa kurusha ndege na cruse missiles kutokea mbali.
Mkuu ninachokiweka sawa hapa ni hizo Nguvu za kijeshi unazojinasibu nazo kuhusu Misri...najaribu kukuambia tuu hiz Nguvu sio chochote ktk Ushindi wa kivita mkuu...Misri ina waasi wa Kijihadi huko Penusila ya Sinai wanamletea changamoto kubwa sana....sasa ukizungumzia vita kamili mie nashangaa, tena budjet yake ya kijeshi inakuwa supported na US.
Swala la vita Kuhusu Nchi na Nchi ni Ngumu sana kuamuliwa kwa namna ya Nani mwenye Nguvu zaidi kijeshi na ndo maana ya mifano yangu Hapo juu....Iran wakati anapigana na Iraq,Iraq ilikuwa ni Nchi yenye Nguvu za Kijeshi kuliko Nchi yoyote Mashaiki ya kati na ilikuwa inasurpotiwa na major Powers US na Europe mpaka Usovieti lkn Iran Ilishinda....Uganda Wakati ametuvamia sisi alikuwa na Nguvu nyingi sana Kijeshi na pia support Nyingi,Vietnam Na US hiyo Nguvu ya US ilishindikana kabisa kufua Dafu...sasa mkuu ukizungumzia mambo ya Manowari na Ndege Vita,huo sio Lushindi wa kumtisha mtu Nyau....Bwawa lonaendelea kujaaa Maji mkuu.
 
Sasa kama mnajua kuwa gas ni nafuu kushinda umeme na viwanda vingi vinatorokea upande wa gas na kuutelekeza kabisa utumiaji wa umeme ni hekima kweli kujenga jitu la 2,115 MW? Yaani GOT inataka sana kufanya viwanda vyenu vitumie gas na viwache kutumia umeme na upande mwingine wanapanua uzalishaji wa umeme
ww jamaa mbona unakua mjinga kiasi hiki sikutegemea 😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom