Muigai Jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 2,218
- 4,043
Mkuu kumbuka Nguvu za kijeshi sio kigezo pekee cha ushindi katika vita,na pia sio kigezo saana katika kumzuia adui yake kuyalinda Maslahi yake...mfano mziri ni Vita vya Iran na Iraq,Vietnam na US,,na km ni kutishiana angalia N KOREA vs US na hata Rwanda na TZ enzi za JK.........Maslahi ya Ethiopia kwenye huo mto ni makubwa kuliko hivo vita unavyowaza......aiingii akilini mradi ulioigharimu Nchi $7bilion usifanyiwe kazi.Will Ethiopia force Egypt to carry out the first strike of the African water wars?
Soma hiyo ndio utajua nani ni nani kati ya Ethiopia vs Egypt kijeshi.
, Indonesia ishawahi kuwa na Rais kipofu! Nimejiskia vibaya ukizingatia utaa wa kilichosababisha awe hivyo!


