Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu ninachokiweka sawa hapa ni hizo Nguvu za kijeshi unazojinasibu nazo kuhusu Misri...najaribu kukuambia tuu hiz Nguvu sio chochote ktk Ushindi wa kivita mkuu...Misri ina waasi wa Kijihadi huko Penusila ya Sinai wanamletea changamoto kubwa sana....sasa ukizungumzia vita kamili mie nashangaa, tena budjet yake ya kijeshi inakuwa supported na US.
Swala la vita Kuhusu Nchi na Nchi ni Ngumu sana kuamuliwa kwa namna ya Nani mwenye Nguvu zaidi kijeshi na ndo maana ya mifano yangu Hapo juu....Iran wakati anapigana na Iraq,Iraq ilikuwa ni Nchi yenye Nguvu za Kijeshi kuliko Nchi yoyote Mashaiki ya kati na ilikuwa inasurpotiwa na major Powers US na Europe mpaka Usovieti lkn Iran Ilishinda....Uganda Wakati ametuvamia sisi alikuwa na Nguvu nyingi sana Kijeshi na pia support Nyingi,Vietnam Na US hiyo Nguvu ya US ilishindikana kabisa kufua Dafu...sasa mkuu ukizungumzia mambo ya Manowari na Ndege Vita,huo sio Lushindi wa kumtisha mtu Nyau....Bwawa lonaendelea kujaaa Maji mkuu.
Ndio sababu nikasema mkuu mbona sikuekewi?

1)Kwanza sijasema kwamba kuna Vita au kutatokea Vita, ila nimesema Egypt ana nguvu za kijeshi za kuweza kulivunjilia mbali hilo bwawa bila Vita kutokea.

Sasa mkuu unasema maneno mengi bila kuangalia Geography ya hizi nchi mbili, hizi nchi hazijapakana kama hizo Iran na Iraq, sasa hiyo vita itatokeaje wakati nchi moja inao uwezo wa kutuma silaha toka mbali na kulivunja wakati Ethiopia haina jinsi ya kufika Egypt kulipiza kisasi?.

Kuhusu uwezo wa majeshi kuwa ni kigezo cha kushinda Vita, ninashangaa sana kwa kupinga hilo, sasa kigezo cha kushinda Vita ni kipi kama sio uwezo wa jeshi?, unategemea Tanzania tushinde vita dhidi ya Urusi, China, USA, UK au India.
 
Mkuu mbona sikuelewi?, inaonekana hujafuatilia huu mjadala kwa urefu.

1)Kila mtu ana maslahi yake katika huu mto, Ethiopia anataka umeme, Egypt anataka chakula na kazi kwa watu wake, nani mwenye maslahi muhimu zaidi?

2)Ethiopia alipaswa kabla ya kujenga ashauriane na wenzake kukubaliana jinsi ya kuzuia athari kwa majirani, hakufanya hivyo yeye alijali maslahi yake tu, haijalishi hata kama angejenga la $20B, hiyo sio sababu ya kuathiri uchumi na maisha ya wengine kwa sababu ya $7B.

3)Hapa hakuna vita vitakavyotokea, kitakachofanyika ni kulivunja hili bwawa kutokea mbali ili lisifanye kazi kwa kurusha ndege na cruse missiles kutokea mbali.
Kwanza. Egypt haina cruz missiles.
Pili. Ili Egypt ibomb Ethiopia lazima watumie anga za Sudan. Sudan wakikataa basi Egypt hawezi bomb Ethiopia. Yaani sio rahisi unavyodhani kwa sababu nchi hizi mbili (Ethiopia na Egypt) hazijapakani. Halafu rais Al sisi mwaka huu alisema kuwa Egypt imeweka diplomasia na Ethiopia mbele. Yaani vita halitatokea. Halafu nilikueleza kuwa kama wangetaka kubomb wangebomb zamani kabla ya maji kuanza kujazwa. Hawawezi hatarisha maisha ya watu wa Sudan kwa kubomb hii dam wakati limejaa maji. Unajua hii dam iko juu kwa milima na Sudan iko chini kuliko hii dam. Sasa Egypt ikibomb hii dam basi maji hayo yatauwa watu wengi huko chini upande wa Sudan. Haya sio maoni yangu bali ni maoni ya experts wanaojadili mambo haya. Ukitaka evidence sema nikuletee. Na wewe leta evidence kwamba Egypt walisema kuwa watabomb hii dam hata likiwa lina maji ndani.
 
Kelele zote za mradi wa BRT Wakenya wamekuja ishia humu??

Gonga like kama unakumbuka mbwembwe za BRT ya wakenya...
FB_IMG_1601192840818.jpeg
 
Swala la Matumizi ya huu umeme ni swala la kuwa na taarifa na sio werevu. Zegereni industrial hub ina zaidi ya viwanda vikubwa nane ambavyo ujenzi umesimama kupisha juhudi za serikali kupeleka umeme wa kutosha.

Kamal Industrial Estate Bagamoyo haijafikia hata 20pc umeme haujasosheleza... Lengo la serikali ni kuwa na maeneo ya viwanda vya msingi kila wilaya nchini... Kusaidia kuchakata raw materials kutoka kwa wakulima, ili kupunguza upotevu unaotokana na masoko kuwa mbali.

Kuna upanuzi wa SGR kufika Rwanda na burundi kote huku umeme utahitajika.. lakini Tanzania tunataka kujipambanua kama manufacturing hub ya Afrika na ulimwengu hapo baadae.. kuwa na umeme wa kutosha ni swala nyeti katika safari yetu.

Kupanga ni kuiandaa njia ya kuielekeza kesho yetu. Its all built on hope. And as if now we are more hopeful than ever that we will make it to the promised Land.

Karibu Taifa Kuu na Teule la Tanzania.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Asante. Umejieleza vizuri.
 
Israel amekua akipiga maeneo mbali mbali ndani ya Syria anayohisi ni hatari kwa usalama wake lakini hakuna vita kati ya Israel na Syria.

Miaka ya nyuma Israeli ilishambulia na kuviharibu vinu vya Nuclear ndani ya Iran, lakini hakuna Vita vilivyotokea.

Juzijuzi Iran ilizishambulia na kuziharibu kambi za kijeshi za Marekani zilizopo ndani ya Iraq kwa kurusha makombora kutokea Iran lakini hakuna vita vilivyotokea, hivyo ndivyo itakavyokua kwa Ethiopia na Egypt.
Unaidharau Ethiopia sana. Nadhani huwafahamu Wahabeshi wewe. Mimi nimeenda hadi Ethiopia kwa hivyo nawafahamu sana. Endelea kuidharau Ethiopia. Hata Italy walidhani wataicolonize Ethiopia lakini kilichofuata ilikuwa ni kilio na aibu. Fanya research kidogo kuhusu Ethiopia uielewe nchi hiyo.
 
Kwanza. Egypt haina cruz missiles.
Pili. Ili Egypt ibomb Ethiopia lazima watumie anga za Sudan. Sudan wakikataa basi Egypt hawezi bomb Ethiopia. Yaani sio rahisi unavyodhani kwa sababu nchi hizi mbili (Ethiopia na Egypt) hazijapakani. Halafu rais Al sisi mwaka huu alisema kuwa Egypt imeweka diplomasia na Ethiopia mbele. Yaani vita halitatokea. Halafu nilikueleza kuwa kama wangetaka kubomb wangebomb zamani kabla ya maji kuanza kujazwa. Hawawezi hatarisha maisha ya watu wa Sudan kwa kubomb hii dam wakati limejaa maji. Unajua hii dam iko juu kwa milima na Sudan iko chini kuliko hii dam. Sasa Egypt ikibomb hii dam basi maji hayo yatauwa watu wengi huko chini upande wa Sudan. Haya sio maoni yangu bali ni maoni ya experts wanaojadili mambo haya. Ukitaka evidence sema nikuletee. Na wewe leta evidence kwamba Egypt walisema kuwa watabomb hii dam hata likiwa lina maji ndani.
Tony254, Egypt inazo njia nyingi sana na uwezo wa kulifikia hilo bwawa na kulivunja. Kuhusu wakati wa kulivunja, nadhani nilikuekeza kwa undani sana. Ninashangaa unauliza tena swali lile lile.

Ugomvi na vita vya kugombea maji huanza kipindi cha ukame, kipindi ambacho kila mtu anahitaji maji kwa ajili ya mifugo au mashamba yake, unanishangaza sana ukiniomba ushahii kuthibitisha kwamba Egypt itashambulia kipindi cha maji mengi, swali gani hilo Tony254?

Egypt ni Taifa kubwa wanajua "when to strike and when not to strike and why".

Kuhusu uwezo wa Egypt kushambulia bila kutumia ardhi ya Sudan, soma hapa, any time Egypt atalishambulia hilo bwawa kwasababu ni Kama jumuiya ya kimataifa imeshaipa Egypt "go ahead ". baada ya Ethiopia kuonyesha Kiburi.
Will Ethiopia force Egypt to carry out the first strike of the African water wars?
 
Ndio sababu nikasema mkuu mbona sikuekewi?

1)Kwanza sijasema kwamba kuna Vita au kutatokea Vita, ila nimesema Egypt ana nguvu za kijeshi za kuweza kulivunjilia mbali hilo bwawa bila Vita kutokea.

Sasa mkuu unasema maneno mengi bila kuangalia Geography ya hizi nchi mbili, hizi nchi hazijapakana kama hizo Iran na Iraq, sasa hiyo vita itatokeaje wakati nchi moja inao uwezo wa kutuma silaha toka mbali na kulivunja wakati Ethiopia haina jinsi ya kufika Egypt kulipiza kisasi?.

Kuhusu uwezo wa majeshi kuwa ni kigezo cha kushinda Vita, ninashangaa sana kwa kupinga hilo, sasa kigezo cha kushinda Vita ni kipi kama sio uwezo wa jeshi?, unategemea Tanzania tushinde vita dhidi ya Urusi, China, USA, UK au India.
Sio lazima nchi yenye nguvu kushinda vita. US-Vietnam, Vietnam ndio ilishinda hata kulingana na Wamarekani wenyewe. Iraq-Iran ilitoka draw na US-North Korea (1950s) pia ilitoka draw. Kwa hivyo sijui unapinga nini. Sio lazima mtu mwenye nguvu ndiye ataibuka mshindi kila wakati. Kuna wakati mnyonge pia anaweza toka draw au hata kumshinda mwenye nguvu. Hata kwenye bibilia, tukio hili lilitokea pale ambapo Daudi alimuuua Goliath. Halafu David na Goliath sio example nzuri ya kulinganisha nchi hizi mbili kwa sababu jeshi la Ethiopia sio hafifu hata kidogo. Huwa ipo ranked number 3 au number 4 kila mwaka. Egypt ni number 1 ila hii itakuwa ni vita kali na hata Egypt pia itaumia. Halafu Sudan kuwa baina ya nchi hizi mbili haiwezi kuzuia vita vya ardhi kutokea. Katika world war 2 Germany walitaka kupigana na Russia lakini iliwabidi kuvamia Poland kwanza ili wafike Russia. Halafu Sudan inaweza kuwa neutral, yaani inaweza kuruhusu majeshi ya nchi hizi mbili kupitia kwenye ardhi yake bora ngoma yenyewe isichezwe Sudan. Nchi ya Switzerland ni mfano mzuri wa neutral state ambayo haijihusishi na vita ila inaweza kuruhusu wapiganaji wa upande zote mbili kutumia ardhi yake kupitisha jeshi na silaha. Au Switzerland pia inaweza kukataa kuruhu wapigana wa upande zote mbili kutumia ardhi yake. Hii ndio maana Switzerland haikuwahi kupigwa na nchi zinazoizunguka katika world war 1 na 2.
 
Kwanza. Egypt haina cruz missiles.
Pili. Ili Egypt ibomb Ethiopia lazima watumie anga za Sudan. Sudan wakikataa basi Egypt hawezi bomb Ethiopia. Yaani sio rahisi unavyodhani kwa sababu nchi hizi mbili (Ethiopia na Egypt) hazijapakani. Halafu rais Al sisi mwaka huu alisema kuwa Egypt imeweka diplomasia na Ethiopia mbele. Yaani vita halitatokea. Halafu nilikueleza kuwa kama wangetaka kubomb wangebomb zamani kabla ya maji kuanza kujazwa. Hawawezi hatarisha maisha ya watu wa Sudan kwa kubomb hii dam wakati limejaa maji. Unajua hii dam iko juu kwa milima na Sudan iko chini kuliko hii dam. Sasa Egypt ikibomb hii dam basi maji hayo yatauwa watu wengi huko chini upande wa Sudan. Haya sio maoni yangu bali ni maoni ya experts wanaojadili mambo haya. Ukitaka evidence sema nikuletee. Na wewe leta evidence kwamba Egypt walisema kuwa watabomb hii dam hata likiwa lina maji ndani.
Wakati wowote Egypt watalishambulia hilo bwawa, stay tuned.
Are Egypt and Ethiopia heading for a water war?
 
Unaidharau Ethiopia sana. Nadhani huwafahamu Wahabeshi wewe. Mimi nimeenda hadi Ethiopia kwa hivyo nawafahamu sana. Endelea kuidharau Ethiopia. Hata Italy walidhani wataicolonize Ethiopia lakini kilichofuata ilikuwa ni kilio na aibu. Fanya research kidogo kuhusu Ethiopia uielewe nchi hiyo.
Siidharau ila ninatumia taarifa tulizonazo kufanya analysis, situmii hisia au mapenzi yangu kama unavyotumia wewe.

Uwezo wa Kijeshi wa Egypt ni mara mbili wa jeshi la South Africa.ni zaidi ya mara kumi ya uwezo wa jeshi la Ethiopia in terms ya vifaa vya kisasa, mafunzo na budget, mwaka jana pekee Egypt bajeti yao ya jeshi ilikua $11B, wakati Ethiopia ni $380M.

Kila mwaka USA inaipatia Egypt $2B kuimarisha jeshi lao, chance ya kushinda hii Vita kwa Ethiopia ni 20%
 
Sio lazima nchi yenye nguvu kushinda vita. US-Vietnam, Vietnam ndio ilishinda hata kulingana na Wamarekani wenyewe. Iraq-Iran ilitoka draw na US-North Korea (1950s) pia ilitoka draw. Kwa hivyo sijui unapinga nini. Sio lazima mtu mwenye nguvu ndiye ataibuka mshindi kila wakati. Kuna wakati mnyonge pia anaweza toka draw au hata kumshinda mwenye nguvu. Hata kwenye bibilia, tukio hili lilitokea pale ambapo Daudi alimuuua Goliath. Halafu David na Goliath sio example nzuri ya kulinganisha nchi hizi mbili kwa sababu jeshi la Ethiopia sio hafifu hata kidogo. Huwa ipo ranked number 3 au number 4 kila mwaka. Egypt ni number 1 ila hii itakuwa ni vita kali na hata Egypt pia itaumia. Halafu Sudan kuwa baina ya nchi hizi mbili haiwezi kuzuia vita vya ardhi kutokea. Katika world war 2 Germany walitaka kupigana na Russia lakini iliwabidi kuvamia Poland kwanza ili wafike Russia. Halafu Sudan inaweza kuwa neutral, yaani inaweza kuruhusu majeshi ya nchi hizi mbili kupitia kwenye ardhi yake bora ngoma yenyewe isichezwe Sudan. Nchi ya Switzerland ni mfano mzuri wa neutral state ambayo haijihusishi na vita ila inaweza kuruhusu wapiganaji wa upande zote mbili kutumia ardhi yake kupitisha jeshi na silaha. Au Switzerland pia inaweza kukataa kuruhu wapigana wa upande zote mbili kutumia ardhi yake. Hii ndio maana Switzerland haikuwahi kupigwa na nchi zinazoizunguka katika world war 1 na 2.
Kwahiyo unataka nikiulizwa swali, Je kukitokea Vita Kati ya Ethiopia na Djibouti nchi gani inauhakika wa kushinda jibu niseme ni Djibouti?
 
Tony254, Egypt inazo njia nyingi sana na uwezo wa kulifikia hilo bwawa na kulivunja. Kuhusu wakati wa kulivunja, nadhani nilikuekeza kwa undani sana. Ninashangaa unauliza tena swali lile lile.

Ugomvi na vita vya kugombea maji huanza kipindi cha ukame, kipindi ambacho kila mtu anahitaji maji kwa ajili ya mifugo au mashamba yake, unanishangaza sana ukiniomba ushahii kuthibitisha kwamba Egypt itashambulia kipindi cha maji mengi, swali gani hilo Tony254?

Egypt ni Taifa kubwa wanajua "when to strike and when not to strike and why".

Kuhusu uwezo wa Egypt kushambulia bila kutumia ardhi ya Sudan, soma hapa, any time Egypt atalishambulia hilo bwawa kwasababu ni Kama jumuiya ya kimataifa imeshaipa Egypt "go ahead ". baada ya Ethiopia kuonyesha Kiburi.
Will Ethiopia force Egypt to carry out the first strike of the African water wars?
Hio siku nilikuwa na haraka kwa hivyo singekujibu vizuri. Hii ni mara ya pili sasa unalihepa swali langu. Wacha nijaribu mara ya tatu. Ukikataa kujibu niwachane na wewe. Swali langu ni simple. Ni vipi Egypt watalibomb dam hili ili kuuwa watu wa Sudan? Unadhani Sudan itakubali Egypt iangamize wananchi wake? Unadhani nchi za Afrika na dunia zitakubali Egypt iangamize raia wa Sudan? Sielewi ni nini unachomaanisha unaposema dunia itaipa Egypt go ahead. Halafu ujuwe Egypt na Sudan ni mandugu toka zamani na wanapendana sana kwa hivyo Egypt hawezi taka kumuangamiza ndugu yake mdogo. Hili bwawa liko 15 km from Sudan border. Halafu saddle dam iko only 3 km from Sudan border. Grand Ethiopian Renaissance Dam - Wikipedia Yaani likibomolewa hakuna Mhabeshi hata mmoja atakayekufa, ni raia wa Sudan tu watakaoangamia. Halafu hii maji itakuja kwa speed na force ya hali juu kwa sababu ina potential energy kubwa sana. Nenda youtube utazame jinsi dam ndogo tu ikipasuka jinsi inavyofanya madhara makubwa, sembuse dam kubwa kama hii? Wahabeshi ni wajanja sana, walijenga bwawa hili kwenye border kabisa ya Sudan kwa sababu walijua Egypt atafikiria mara mbili kabla ya kuhatarisha maisha ya ndugu yake mdogo. Hio inaitwa Geopolitics. Umeshanielewa?
 
Hio siku nilikuwa na haraka kwa hivyo singekujibu vizuri. Hii ni mara ya pili sasa unalihepa swali langu. Wacha nijaribu mara ya tatu. Ukikataa kujibu niwachane na wewe. Swali langu ni simple. Ni vipi Egypt watalibomb dam hili ili kuuwa watu wa Sudan? Unadhani Sudan itakubali Egypt iangamize wananchi wake? Unadhani nchi za Afrika na dunia zitakubali Egypt iangamize raia wa Sudan? Sielewi ni nini unachomaanisha unaposema dunia itaipa Egypt go ahead. Halafu ujuwe Egypt na Sudan ni mandugu toka zamani na wanapendana sana kwa hivyo Egypt hawezi taka kumuangamiza ndugu yake mdogo. Hili bwawa liko 15 km from Sudan border. Halafu saddle dam iko only 3 km from Sudan border. Grand Ethiopian Renaissance Dam - Wikipedia Yaani likibomolewa hakuna Mhabeshi hata mmoja atakayekufa, ni raia wa Sudan tu watakaoangamia. Halafu hii maji itakuja kwa speed na force ya hali juu kwa sababu ina potential energy kubwa sana. Nenda youtube utazame jinsi dam ndogo tu ikipasuka jinsi inavyofanya madhara makubwa, sembuse dam kubwa kama hii? Wahabeshi ni wajanja sana, walijenga bwawa hili kwenye border kabisa ya Sudan kwa sababu walijua Egypt atafikiria mara mbili kabla ya kuhatarisha maisha ya ndugu yake mdogo. Hio inaitwa Geopolitics. Umeshanielewa?
Nimekujibu mara nyingi sana sijui kwanini hutaki kuelewa.
1)Lengo la Egypt ni kuhakikisha kwamba maji ya mto Nile yanaendelea kutiririka katika njia yake ya asili.
3)Bwawa linapojengwa, huwa wanajenga "gates" katika njia ya asili ambazo huzuija maji katika kipindi cha kiangazi na yanafunguliwa katika kipindi cha mvua nyingi.
4)Hizi gates ndio targets za mashambulizi sio kingo za hilo bwawa
5)Hizi geti zikivunjwa, maji yataendelea kutiririka katika njia yake ya asili bila kizuizi wala kutoka nje ya njia zake za asili
6)Mashambulizi yanafanyiki katika kipindi cha kiangazi ambapo kina cha maji kipo chini sana
7)Egypt is a big and advanced country militarily, they know when, where and how to srike in order to achieve their goals with minimum side effects
 
Nimekujibu mara nyingi sana sijui kwanini hutaki kuelewa.
1)Lengo la Egypt ni kuhakikisha kwamba maji ya mto Nile yanaendelea kutiririka katika njia yake ya asili.
3)Bwawa linapojengwa, huwa wanajenga "gates" katika njia ya asili ambazo huzuija maji katika kipindi cha kiangazi na yanafunguliwa katika kipindi cha mvua nyingi.
4)Hizi gates ndio targets za mashambulizi sio kingo za hilo bwawa
5)Hizi geti zikivunjwa, maji yataendelea kutiririka katika njia yake ya asili bila kizuizi wala kutoka nje ya njia zake za asili
6)Mashambulizi yanafanyiki katika kipindi cha kiangazi ambapo kina cha maji kipo chini sana
7)Egypt is a big and advanced country militarily, they know when, where and how to srike in order to achieve their goals with minimum side effects
Mkuu unazungumzia military power tuu...blue Nile ambayo huchangia pakubwa katika Nile chanzo chake ni Ethiopia...sasa wewe unafikiri hii haiipi Ethiopia kiburi ?wakiamua kutumia hayo maji hovyo jua kabisa Nile itapunguza flow yake ...huo mkataba wa kizamani wa Misri utakutana na changamoto Nyingi sana zitakazomfanye apige magoti.ikumbukwe hata sisi tulikuwa haturuhusiwi kuvuna hayo maji...lkn hadi sasa tunaanza mdogo mdogo.
 
Back
Top Bottom