Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi siongei kuhusu transmission lines. Transmission lines ni rahisi kujenga. Mimi naongea kuhusu mradi wenyewe. Huo mradi wa Nyerere hydro itachukua miaka kumi kukamilika, that is, kwa bahati nzuri ikiwa haitakufa kifo cha mende.
Hata ikikamilika itagenerate 2,000 MW na total power generation itakuwa 3,500 MW. Huu mradi ni white elephant kwa sababu demand ya umeme TZ ni 1,500 MW sasa hivi na miaka miwili zijazo itakuwa pengine 1,700 MW. Sasa mradi huu utakapozinduliwa miaka miwili zijazo, TZ itakuwa inagenerate 3,500 MW ilhali nyie mtakuwa mnatumia 1,700 pekee na kupoteza 1,800 MW. Hio ni kutupa pesa. Nchi yenu haina viwanda vya kutosha ili kujustify kujenga hydropower kubwa hivyo. Mtavuja pesa sana. 80% ya hio power haitatumika.
Mataga wa hapa jukwaani yatapinga Ila ujue huwa inatuka kupigia pesa Ila ni mradi wa kipuuzi yaani unatumia pesa kuzalisha iddle resources na unaendelea kuingia hasara ya maintenance ,akili za hovyo kabisa
 
Makorora st, Tanga
IMG_20200927_134024_077.jpg
 
Kisa ameku support..Tony unanichekesha..sana...Mnategemea demand isikue...tusubirie demand kubwa ya ghafla ndo tuanze kujenga sio ...?

Uliza kilichowatokea SA kutoinvest mapema...
Wao wana industries zinazotumia umeme kwa wingi. Ilikuwa ujinga wao kutoinvest katika kuzalisha umeme. Ila nyie ambao hamtumii umeme kwa wingi mjichunge msije mkainvest kwa mradi ambao utapoteza umeme na kuleta hasara kwa kodi ya wananchi. 2,000 MW sio kidogo. Miaka 59 baada ya TZ kupata uhuru bado mnatumia umeme wa 1,300 MW. Hio 2115 MW ni kupoteza pesa bure
 
Wao wana industries zinazotumia umeme kwa wingi. Ilikuwa ujinga wao kutoinvest katika kuzalisha umeme. Ila nyie ambao hamtumii umeme kwa wingi mjichunge msije mkainvest kwa mradi ambao utapoteza umeme na kuleta hasara kwa kodi ya wananchi. 2,000 MW sio kidogo. Miaka 59 baada ya kupata uhuru bado mnatumia umeme wa 1,300 MW. Hio 2115 ni kupoteza pesa bure
Na wewe na umri wako wote unaona bado hatuta invest yani growth yetu itabaki hapo hapo...sio

Nimekupa mfano SGR ya Tz sio ya Kenya inahitaji umeme line zima inaweza kuhitaji zaidi hata 500MW by the time inaisha

Bomba la mafuta EACOP..litahitaji umeme kwenye substation zake

Tunapanua mabandari ya Mtwara Dar na Tanga zitahitaji umeme

Viwanda vingi ofcourse vinatumia Gas...direct Mfano Twiga cement wanatumia 40MW but there source is natural gas...so vingine vingi ambavyo sio vya coast region kwenye pipeline vitahitaji umeme..
 
Na wewe na umri wako wote unaona bado hatuta invest yani growth yetu itabaki hapo hapo...sio

Nimekupa mfano SGR ya Tz sio ya Kenya inahitaji umeme line zima inaweza kuhitaji zaidi hata 500MW by the time inaisha

Bomba la mafuta EACOP..litahitaji umeme kwenye substation zake

Tunapanua mabandari ya Mtwara Dar na Tanga zitahitaji umeme

Viwanda vingi ofcourse vinatumia Gas...direct Mfano Twiga cement wanatumia 40MW but there source is natural gas...so vingine vingi ambavyo sio vya coast region kwenye pipeline vitahitaji umeme..
Sasa kama mnajua kuwa gas ni nafuu kushinda umeme na viwanda vingi vinatorokea upande wa gas na kuutelekeza kabisa utumiaji wa umeme ni hekima kweli kujenga jitu la 2,115 MW? Yaani GOT inataka sana kufanya viwanda vyenu vitumie gas na viwache kutumia umeme na upande mwingine wanapanua uzalishaji wa umeme
 
Embu acha kusifia ujinga...kama anakil kweli kama usemavyo....ilikuwaje ukawa na fraa ya kununua 400Mw toka Ethiopia wakat nyie mna operate under surplus...vitu vingine vyakijinga n upuzi usitete
Kumbuka hio surplus ndani yake ina uzalishaji kutumia diesel, njia ambayo ni bei ghali mno. Umeme kutoka Ethiopia itareplace hii ghali ya diesel
 
Sasa kama mnajua kuwa gas ni nafuu kushinda umeme na viwanda vingi vinatorokea upande wa gas na kuutelekeza kabisa utumiaji wa umeme ni hekima kweli kujenga jitu la 2,115 MW? Yaani GOT inataka sana kufanya viwanda vyenu vitumie gas na viwache kutumia umeme na upande mwingine wanapanua uzalishaji wa umeme
Bro we need all those....2115 is okay ..as long as we wont add after that for sometime like 5 yrs...HEP is the cheapest to produce ..na maintance sio kubwa ...plus it can be used as both Base and peak..
 
Na wewe na umri wako wote unaona bado hatuta invest yani growth yetu itabaki hapo hapo...sio

Nimekupa mfano SGR ya Tz sio ya Kenya inahitaji umeme line zima inaweza kuhitaji zaidi hata 500MW by the time inaisha

Bomba la mafuta EACOP..litahitaji umeme kwenye substation zake

Tunapanua mabandari ya Mtwara Dar na Tanga zitahitaji umeme

Viwanda vingi ofcourse vinatumia Gas...direct Mfano Twiga cement wanatumia 40MW but there source is natural gas...so vingine vingi ambavyo sio vya coast region kwenye pipeline vitahitaji umeme..
Asisahau kuna smelters zinajengwa pia
 
Kumbuka hio surplus ndani yake ina uzalishaji kutumia diesel, njia ambayo ni bei ghali mno. Umeme kutoka Ethiopia itareplace hii ghali ya diesel
Sio tu unazaliswa kwa diesel bali sector ya umeme kenya inapata shida sabab ya wazalishaj wanawawekea ma capacity charg....km kweli una argue kiutu zima huwez munga mkono huo ujinga ameongea....hili bwawa likikamilik litaongeza suppy na kusaidia sna kupungua kwa cost ya umeme...nadhan unapaswa kujua umeme ni kati ya factors of production kinach fwata kinaelewek...na hatuwezi kosa soko la kuzaa ziada
 
Geza Ulole joto la jiwe huyu Mtanzania Choice Variable anajielewa sana. Mjifunze kitu kutoka kwake.
Huyo jamaa hastahili hata kumjibu ndio sababu ninampuuza, na wewe ninakushauri ili kulinda heshima yako uliyoijenga kwa muda mrefu, wacha kuzungumza vitu usivyokua na ufahamu navyo, ninafuatilia jinsi unavyozungumzia mambo ya umeme, ninakushangaa ila kwasababu ninakuheshimu sana, ninajizuia kukujibu kwasababu nitakufedhehesha, ila ukiniruhusu nitafanya hivyo.
 
Back
Top Bottom