joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Kaka Egypt inaweza kutuma ndege zake moja kwa moja toka Egypt na kufanya mashambulizi na kurudi, pia wanazo Cruse missiles zenye uwezo wa kutoka Egypt hadi Ethiopia.Eritrea is wining n dining with Ethiopia, there is no way they can allow Egyptian naval base in her territory!
Egypt anauwezo wa kutupiga sisi sote kwa pamoja katika nchi za maziwa makuu kwa kutumia ndege na missiles zake, yuko vizuri sana.
Amini usiamini lakini utayakumbuka maneno yangu siku zijazo, kama Ethiopia itaendelea na kiburi chake cha kulijaza hilo bwawa "Unilaterally", lazima Egypt italishambulia, sidhani kama 2021 itaisha bila ndege za Egypt kulishambulia hilo bwawa. Soma hii.
Will Ethiopia force Egypt to carry out the first strike of the African water wars?