


Mkuu hata baadhi ya Sehemu za Mkoa wa Mara-Tarime,na Nyamongo.[SUB]Kwa Dodoma avocado haitafanya vizuri kabisa kutokana na hali ya hewa ya ukame, ila maeneo yanayofaa ni hayaIn Tanzania, the prominent avocado producing areas are in the regions of Mbeya, Njombe, Songwe and Iringa in the southwest, as well as in Kilimanjaro, Arusha and Tanga in the northeast of the country. The other regions are Kigoma and Kagera in the northwest, and Morogoro in the east of Tanzania.[/SUB]
Ukiwa unaeza kupata maji ,parachichi haina shida, ingawa pia hupenda kivuli.Otesha parachichi mkuu,
Kitu nilichoguandua ni kuwa ardhi ya Dodoma ni nzuri kwa mazao mabalimbali,
Ardhi ni ya mchanga lakini ina rutuba nzuri,
Au gawa hilo shamba, upande mmoja parachichi halafu mwingine zabibu.
Wakuu mie niseme tuu hichi kitu kimenipa hofu kubwa sana,Rais wetu Kutumia chopa ni hatari sna,tunaeza tukafanyiwa hujuma ya ajabu itakayosononesha mioyo yetu vizazi na vizazi...tena machopa ya Nchi Jirani yana historia chafu..Angalia kifo cha Saitoti,,huku kwetu iliua Filikunjombe...Nasari Alinusurika,ya Ruto ilipata Itilafu.......wakuu Tukumbuke Mkapa amepumzika Na Baba Pekee ni JPM.Waafrika ni watu wa kufanya mambo pasipo kuangalia historia, we kila siku midege ya kenya inadondoka hata hv karibuni midege c chini ya mi4 imedondoka lkn bado mtu anakwenda kukodi huko huko kisa kuna 10% wacha wafe tu pumbavu.
Tunasogea kwa nguvu zote.
Huu ndio upinzani tulionao
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏👏
As for express way ya 4 lanes Ina make sense kutoka Dar Hadi Tunduma be it toll road or otherwise maana huku Kuna cargo ya kuzidi na Tazara haielewekiHivi kwanini tusijenge njia mbili (double truck SGR), hivi kwanini tusijenge "BRT + Light railway na underground metro hapa Far?, hivi kwanini tusijenge daraja kubwa pale Jangwani ili tumalize ile Shida ya mafuriko pale Jangwani?, hivi kwanini tusijenge njia 4 toka Dar hadi Arusha na kutoka Dar hadi Mbeya?, au hiyo sio miundombinu muhimu?
Dar -Tunduma 900kmAs for express way ya 4 lanes Ina make sense kutoka Dar Hadi Tunduma be it toll road or otherwise maana huku Kuna cargo ya kuzidi na Tazara haieleweki
Lengo langu ni kuonyesha kwamba mahitaji ni mengi kuliko uwezo kwasasa, lazima tujifunze kuchagua na kutoa vipaumbele kutokana na Economic benefit yake kwa siku za karibu kabla hatujaanza na miradi ya muda mrefu, lazima tuanze na njia ambazo zitarejesha haraka pesa ili tuwekeze kwenye miondombinu kwa ajili ya siku zijazo.As for express way ya 4 lanes Ina make sense kutoka Dar Hadi Tunduma be it toll road or otherwise maana huku Kuna cargo ya kuzidi na Tazara haieleweki
gesi asilia ndo mtambo gani huo na utakuwa wapi....? Hapo wamejimix waandikaji.nahisi walimianiisha wa Somanga ..
Hata iwe km 1,000,000 hii ni moja ya barabara kubwa na iliyo busy kuliko barabara kuu zote za Tzn,kama wako kwenye mpano wa kujenga njia sita hadi chalinze then njia 4 hadi Dom hapa kunashindikana nini?Dar -Tunduma 900km
ukiwa unapost vitu vyako shirikisha na ubongo pia...huwez kujenga highway ya 900km wakati Bado barabara nyingi bado hazina lami...uwezo Huo badoHata iwe km 1,000,000 hii ni moja ya barabara kubwa na iliyo busy kuliko barabara kuu zote za Tzn,kama wako kwenye mpano wa kujenga njia sita hadi chalinze then njia 4 hadi Dom hapa kunashindikana nini?
Dodoma sio jangwa wala semi arid kiviile ndio maana miti inakubali sana tu ,ardhi ina maji mengi chini na kiasili ni kama bonde lililokuwa linatuamisha Maji na kuna maozea mengi kwa hiyo mchanga uko juu juu ila chini ni udgongo.Kwani parachichi zinaota maeneo yenye joto kama Dodoma?
Ukianza na hizo logic utalazimika kujibu kwa nini kujenga kidaraja cha kukatiza km moja ziwani kwa bln 700 wakati kuna barabara nyingi kuu za mkoa na mkoa bado.Je waliojenga walishirikisha ubongo au kitu gani? Itabidi uulize na miradi mingi ya dizaini hiyo.ukiwa unapost vitu vyako shirikisha na ubongo pia...huwez kujenga highway ya 900km wakati Bado barabara nyingi bado hazina lami...uwezo Huo bado
Hiyo ladha ndio ubora wa parachichi ulipoDodoma sio jangwa wala semi arid kiviile ndio maana miti inakubali sana tu ,ardhi ina maji mengi chini na kiasili ni kama bonde lililokuwa linatuamisha Maji na kuna maozea mengi kwa hiyo mchanga uko juu juu ila chini ni udgongo.
Alafu Dododa hakuna joto la kihivyo kama ukanda wa Pwani so wewe otesha sema ladha ndio inaweza kuwa tofauti kutoka eneo na eneo.Parachichi la Nyanda za juu kusini au la ukanda wa baridi litakuwa tofauti na la ukanda wa joto la kati kama huko Dom.Hushangai Korosho tulizoea inalimwa Pwani lakini saizi hadi Tabora tunaotesha na mikorosho inastawi bila tatizo