Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Roho inawauma kwavile wamjua Lokichar-Lamu is not bankable! Option iliyopo ni kubeba na tankers! Wasijaribu kujenga kwa fedha zao kama the $400mln LAPSSET 3 berths ambazo mwaka wa 9 hazijaisha!


heheh kisu kishawafika shingoni 😂😂😂
 
Hivi avocado inaweza kukubali kwenye ardhi ya dodoma?
Hivi avocado inaweza kukubali kwenye ardhi ya dodoma?
[SUB]Kwa Dodoma avocado haitafanya vizuri kabisa kutokana na hali ya hewa ya ukame, ila maeneo yanayofaa ni haya 👉🏿 In Tanzania, the prominent avocado producing areas are in the regions of Mbeya, Njombe, Songwe and Iringa in the southwest, as well as in Kilimanjaro, Arusha and Tanga in the northeast of the country. The other regions are Kigoma and Kagera in the northwest, and Morogoro in the east of Tanzania.[/SUB]
 
Otesha parachichi mkuu,

Kitu nilichoguandua ni kuwa ardhi ya Dodoma ni nzuri kwa mazao mabalimbali,

Ardhi ni ya mchanga lakini ina rutuba nzuri,

Au gawa hilo shamba, upande mmoja parachichi halafu mwingine zabibu.
Kwani parachichi zinaota maeneo yenye joto kama Dodoma?
 
Back
Top Bottom