More pain
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 283
- 799
Hili lonahitaji maji na mboleaa (samadi) kama vipo hamna tatizoo otesha tuu.Hivi avocado inaweza kukubali kwenye ardhi ya dodoma?
Hili lonahitaji maji na mboleaa (samadi) kama vipo hamna tatizoo otesha tuu.Hivi avocado inaweza kukubali kwenye ardhi ya dodoma?
si ndo maana ninasema anapopiga simu kuamrisha fedha ziletwe na waziri kujenga barabara wakati akikampeni ni rushwa!Hapana hapaswi kuchanganya kipindi hiki, ndio sababu hatumii gari za State house pamoja na kwamba ni rais.
Alipokwenda jana kufungua mahakana ndio alikwenda kama rais ndio sababu alitumia gari za Ikulu, akitumia gari za ikulu ni rais wa wote hapaswi kuvaa sare za CCM, hapo ndio anaweza kufanya majukumu ya urais.
Magufuli anakurupuka mara nyingi sana anajikuta akifanya makosa mengi Sana. Hawa akina Lisu na kusoma sheria lakini wanashindwa kumbana.
Kweli kabisa, ninashangaa hawa akina Halima Mdee, Tundu Lissu na Mnyika wanaojisifu ni wanasheria hiyo elimu yao ya sheria wanaitumiaje, kosa la wazi kabisa hili.si ndo maana ninasema anapopiga simu kuamrisha fedha ziletwe na waziri kujenga barabara wakati akikampeni ni rushwa!
Yah hapo Magu anakosea.Kweli kabisa, ninashangaa hawa akina Halima Mdee, Tundu Lissu na Mnyika wanaojisifu ni wanasheria hiyo elimu yao ya sheria wanaitumiaje, kosa la wazi kabisa hili.
Hii picha ni ya zamani babu sasa kuna daraja la SGR na new shiny SGR Terminal!