Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndicho nilikuwa na mwambia joto la jiwe, tusipoweka miundombinu madhubuti kabla kizazi hichi hakijaanza kutotoa nchi yetu itadoda.
Hivi kwanini tusijenge njia mbili (double truck SGR), hivi kwanini tusijenge "BRT + Light railway na underground metro hapa Far?, hivi kwanini tusijenge daraja kubwa pale Jangwani ili tumalize ile Shida ya mafuriko pale Jangwani?, hivi kwanini tusijenge njia 4 toka Dar hadi Arusha na kutoka Dar hadi Mbeya?, au hiyo sio miundombinu muhimu?
 
8523C5DD-E9D6-4F24-B9F9-AC0585287D03.jpeg
5AE5C801-71C8-4F52-965C-E6C8F9B24739.jpeg
DC5CE06D-FC2F-4920-BE94-BAD899742948.jpeg
E223FC05-21D2-4335-B632-7CCA2924101C.jpeg
 
YouTube subscriptions are for kids and dumb people like you. Go to twitter and you will get your answers there.
Hahahaha sasa mbona tupo sawa tu sababu huko twitter.com ambapo mnajidanganya mpo wengi account yenye followers wengi ni 3M wakati kutoka Tanzania ni 2M

Hamna ubavu wa kupimana na Tanzania kwenye social media, ninyi ni watoto sana.
 
ATCL wapo makini sana katika kufungua njia mpya, Magufuli alishawaambia kwamba hataki kusikia kitu hasara kinatokea tena ATCL. Katika akili ya biashara, ni kosa kubwa kuanza na njia ambazo kuna competition kali, njia ya Nairobi, Ethiopia, Qatar, Instambul Uturuki, hizo njia sio za kuanza nazo kama ndege zako ni chache, lazima uwe na ndege za kutosha kuingia katika hizo njia.

ATCL itafanya kosa kubwa sana kuanza route ya Nairobi bila kujiimarisha kwa idadi ya ndege na logistics zingine, vinginevyo lazima watapata hasara kama inavyopata hasara Rwandair na KQ.

ATCL walipata kibali cha kutua nairobi kuanzia June this year ndio safari zingeanza, sema Corona ndio iliharibu hapo kati. Hivyo kwa sasa nadhani safari hiyo itaanza rasmi.
 
ATCL walipata kibali cha kutua nairobi kuanzia June this year ndio safari zingeanza, sema Corona ndio iliharibu hapo kati. Hivyo kwa sasa nadhani safari hiyo itaanza rasmi.
Abu dhabi ni bonge la route,tena sasa hivi etihad aifiki dar,inaishia nai,ATCL ingeanza hiyo route japo mara 3 kwa wiki
 
ATCL walipata kibali cha kutua nairobi kuanzia June this year ndio safari zingeanza, sema Corona ndio iliharibu hapo kati. Hivyo kwa sasa nadhani safari hiyo itaanza rasmi.
ATCL haiwezi kwenda Nairobi bila kupokea ndege zake mpya ambazo ni Airbus 2 ambazo ni toleo la kisasa kabisa lenye screen katika kika seat, na kuanza kuanza kwa Safari za China, kabla ya kutimiza hayo, route ya Nairobi haitotengeneza faida.
 
ATCL haiwezi kwenda Nairobi bila kupokea ndege zake mpya ambazo ni Airbus 2 ambazo ni toleo la kisasa kabisa lenye screen katika kika seat, na kuanza kuanza kwa Safari za China, kabla ya kutimiza hayo, route ya Nairobi haitotengeneza faida.

Nadhani wenye dhamana ya kuendesha hilo shirika wameshapiga hesabu zao vizuri. Route ya nairobi ina pesa nzuri chief, unaweeza kuona vile ime-paralyze KQ halafu unasema haina faida? Mipango ilikuwa this June nairobi, then September London. Hiyo route ya China tayari ilishaanza kazi nadhani.
 
Malazy waliokuwa wanasema kuwa Konza city ni white elephant nina ujumbe kwenu. Polepole ndio mwendo,haraka haraka haina baraka. Chururu si ndondondo. Mwenye pupa hadiriki kula tamu. Tulieni muone Konza city ikikamilika. Tunaijenga polepole hatuna haraka. Progress iko sawa, hata mahater lazima wakubali.


50348911656_009759d4c9_o.png
 
Malazy waliokuwa wanasema kuwa Konza city ni white elephant nina ujumbe kwenu. Polepole ndio mwendo,haraka haraka haina baraka. Chururu si ndondondo. Mwenye pupa hadiriki kula tamu. Tulieni muone Konza city ikikamilika. Tunaijenga polepole hatuna haraka. Progress iko sawa, hata mahater lazima wakubali.


View attachment 1571573
Tunataka kujaribu kupunguza kufungua uzi za kishabiki kama hizi na kujikita katika kuonyesha mazuri yanayofanyika ili nchi zingine zijifunze, kwasababu hadi sasa mzani umeshaanza kuelemea upande mmoja,
 
Back
Top Bottom