Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_1700.jpg

IMG_1702.jpg

IMG_1696.jpg
 
Hizi fadhila haziji hivihivi zina conotations za SGR pia!
Taarifa ya SGR ameshapewa fasta pale chemba, kumbuka waliingia chemba kwa kama dakika 5 hivi kabla hawajaibgia ukumbini.
Hamna cha bure hapo, hiyo pesa ya mafuta (zaidi ya $10m kwa mwezi) ndiyo itajenga SGR kwenda Uganda na bomba la gesi litakalo jengwa sambamba na hilo la mafuta.

BTW hivi Museveni alimaliza kutulipa pesa zetu za kumuondoa Iddi Amin?
  • Ikumbukwe Kunyaland walikuwa na plan ya kununua gesi toka kwetu ila baadae kwa husda wakaamua kuweka kando mradi na kuingia makubaliano na Qatar ya ku-import gesi!
Dah, Kweli hawa watu ni wabinafsi na wanaroho mbaya hasa.
 
Hamna cha bure hapo, hiyo pesa ya mafuta (zaidi ya $10m kwa mwezi) ndiyo itajenga SGR kwenda Uganda na bomba la gesi litakalo jengwa sambamba na hilo la mafuta.

BTW hivi Museveni alimaliza kutulipa pesa zetu za kumuondoa Iddi Amin?

Dah, Kweli hawa watu ni wabinafsi na wanaroho mbaya hasa.
Mkuu hii reason hupaswi kuiexpose, maana ndio bima mojawapo kwenye haya makubaliano na mengine yajayo
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]ila SGR wakifunga deal wakenya watahara dunia nzima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ni noma sana..man..hili deal litakuja so soon..maana meli za mizigo zinaaza kujengawa kwa kazi hyo...in time tunasuburia SGR iishe..Mwanza-Isaka ikiisha..MGR yenye speed amabyo ni improved inaweza transport hadi isaka..vikaingia kwenye sgr to mwanza
 
Back
Top Bottom