joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Mimi ninasubiri hilo bomba la gesi analotaka M7 liende Uganda, hilo ndio litakalowamaliza wakenya.Bad loser's syndrome manifests itself![]()
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Mimi ninasubiri hilo bomba la gesi analotaka M7 liende Uganda, hilo ndio litakalowamaliza wakenya.Bad loser's syndrome manifests itself![]()
Mimi ninasubiri hilo bomba la gesi analotaka M7 liende Uganda, hilo ndio litakalowamaliza wakenya.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Mkuu EACOP ni balaaa.Mambo yanayowauma wakenya wa jf wiki hii,
-Mamlaka ya anga ya Uganda kuruhusu ndege za Tanzania kutua Uganda
-Dili la ya EACOP
nimecheka sana ,,,,,,mkuu kaamua kuwatungua anga ya pili[emoji3][emoji3]Aisee ichoboy kaamua kuwagonga vitasa huko twitter! [emoji121] 😀 😀 [emoji121]
hatari sanaUjenzi wa hili bomba ukianza,
LNG Lindi nayo uanze,
Bandari zimepanuliwa,
Si muda mrefu tra watahit 2T per month.
August imepita sai ni sept 13 mbna hawadai tena[emoji23][emoji23]wanadai wa july not august mzee usijitie uchizi [emoji23][emoji23][emoji23]
Geza unachoma😂😂😂😂Aisee ichoboy kaamua kuwagonga vitasa huko twitter! ☝ 😀 😀 ☝
Wakuu, yaani ni full shangwe. Huu ni zaidi ya ushindi wa kivita. Hakika tuna kila Sababu ya Kumshukuru Mungu na Rais wetu kipenzi JPM. Mungu mbariki na Kumlinda Mseveni pia.[emoji1241][emoji1241][emoji1254][emoji1254]Mkuu EACOP ni balaaa.
Ujenzi wa hili bomba ukianza,
LNG Lindi nayo uanze,
Bandari zimepanuliwa,
Si muda mrefu tra watahit 2T per month.
Kumbuka kuna mradi wa LNG wa $30 bln huko Lindi unaongoja revenue agreements pia!noma, hiv kenya kuna miradi gan cost yake ni zaid ya USD 3 billions?
Tanzania
- EACOP = zaid ya USD 3 billions
- JNHPP = zaid ya USD 3 billions
- SGR = zaid ya USD 3 billions