Wako busy na 2022 canpaigns
hawa ni wapuuuzi.. ishu za uchaguzi kuna namna inarudisha maendeleo kwa kiasi flan.. maana uchaguzi lolote linaweza kutokea mfano mapigano.. na wanavyoanza mapema 2 yrs before uchaguzi ndo wanaharibu hasa
Wako busy na 2022 canpaigns
Media zao zitatafuta agenda ya kutupiga propaganda mpaka hasira zao zitakapoisha.[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]ila SGR wakifunga deal wakenya watahara dunia nzima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeona walivyonyong'onyea?Media zao zitatafuta agenda ya kutupiga propaganda mpaka hasira zao zitakapoisha.
Wako busy na 2022 canpaigns
Haya ndio matunda ya kutaka kushindana na sisi, wanajaribu kushindana na Tz kwenye uchaguzi ilhali muda bado + uongozi wa sasa ndio unawapa tabu kabisaaa, ni kama vile demu ambaye kila siku shoga yake anamhadithia anavyokunwa na mshkaji wake huku yeye akiwa hafikishwi😀hawa ni wapuuuzi.. ishu za uchaguzi kuna namna inarudisha maendeleo kwa kiasi flan.. maana uchaguzi lolote linaweza kutokea mfano mapigano.. na wanavyoanza mapema 2 yrs before uchaguzi ndo wanaharibu hasa
na wewe uko busy na kenyan media
Wamenyong'onyea vibaya sana mpaka wanatia huruma.Umeona walivyonyong'onyea?