Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Geza kuna wakati unashangaza, niliwahi kusema hapa kwamba kama reli ya Isaka - Kigali ikijengwa inaweza kumpa ushawishi museveni kuunganisha.
Nikasema umbali ni mfupi kwa sababu isaka Kigali itapita sehemu ya mkoa wa kagera so ni rahisi kuunganisha pale mpakani mutukula.
Ulinipinga ukasema ni ubinafsi kwa sababu kuna meli, nikasema je kama waganda wanataka sgr tusijenge?
Today you are supporting the same idea you opposed before😂😂
Waganda bado hawajataka, until waonyeshe interest na wa-commit kama Rwanda ndo unaweza kujenga! That's was my argument!
 
Wacha ujinga wewe hiyo ardhi yote ni ya BRT for future plans huyo Mchina atafute sehemu nyingine!

BRT wenyewe wanaweza kuamua kujenga mall yao ili yale ya hadaa za Oysterbay police kuhepukika kwa nguvu zote!

Narrow mindedness kama wewe na Makonda mlitaka kutuingiza mkenge! Huyo Mchina kama yuko serious anashindwa nn kuwanunua wale wa upande wa Ubungo maji kisheria?

Watu kama wewe mnanunuliwa kwa vitu rahisirahisi hata upande wa khanga! BRT haina ofisi zake, kwanini iuze eneo? Kwani inashindwa kujenga mall yenyewe? Hivi unajua thamani halisi ya hiyo ardhi?

What if BRT is to incorporate trams n r built, where will they park, turn n get serviced? Wacha akili ndogo!
Geza sometimes huwa unawaka kama bange mbichi!!!afu itanichukua muda mrefu sana wa kukuelekeza!!!!unataka kila mtu akubaliane na unachokiwaza.Hayo ni mawazo yako jitulize.Nani kakwambia mchina anauziwa eneo?!kwa upande wangu sijui hata proposal ya awali ikoje. Nilichoshauri kwa upande wangu ni BOT, Build Operate Transfer,JENGA,ENDESHA kwa makubaliano fulani then wakati ukifika MUACHIE Muhusika mwenye eneo kila kitu likiwemo na jengo pia. Kuna models nyingi tu.
 
BRT itakuwepo kwenye mradi huu upande wa Chini huku nyuma, Angalia Bati la kijani la Ubungo BRT terminal na Hilo la huko chini ni mali Property ya BRT.

View attachment 1568416

上海凌航实业集团有限公司
Hili litakuwa kosa kubwa sana kama BRT wakigawa hii ardhi hawana ofisi pia in the future the chance for BRT to be part of tram network will be complete shut down! We have to think big huyu mchina kama kweli yuko serious hawezi kushindwa kutafuta ardhi Dar especially upande wa Ubungo maji! Lets not be excited of small stuffs like a mall! Visionary leaders like Mfugale and Kamwele hawwezi kuruhusu Mchina ajenge mall pale!
 
Geza sometimes huwa unawaka kama bange mbichi!!!afu itanichukua muda mrefu sana wa kukuelekeza!!!!unataka kila mtu akubaliane na unachokiwaza.Hayo ni mawazo yako jitulize.Nani kakwambia mchina anauziwa eneo?!kwa upande wangu sijui hata proposal ya awali ikoje. Nilichoshauri kwa upande wangu ni BOT, Build Operate Transfer,JENGA,ENDESHA kwa makubaliano fulani then wakati ukifika MUACHIE Muhusika mwenye eneo kila kitu likiwemo na jengo pia. Kuna models nyingi tu.
Ila kama UDART wanaweza kuwekeza wenyewe ni vizuri zaidi wawekeze kimkakati.
 
Hapa sasa!

Hii ni ile Faida ya kumsomesha Museveni na kumsaidia katika harakati za kuichukua nchi inasemekana Alikuwa anapendwa sana na Mwalimu na Mara nyingi alionekana Kurasini.Fadhila ni Fadhili.

Screenshot_20200913-150206_Facebook.jpg
 
Hii ya pipeline Hoima-Tanga ni pigo kubwa sana kwa Wakenya!Kuna mahali walirelax tukapita nalo.Kwa kiasi tuwashukuru sana Total walianza choko choko hizi toka kipindi Mzee wetu wa Msoga yupo madarakani.Mzee baba Chuma kalisimamia soon mambo yanaiva Mungu bariki.
 
Back
Top Bottom