The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Mkuu kwa Tz hilo halipo yn Atcl bado itapata chake na TRC itapata chake, kumbuka usafiri wa ndege ni very faster so wapo wataopanda ndege na wapo wataopanda treni, japo kwa cku za kwnz kwnz itayumbisha kdg anga ila itarudi tena vile vile mkuu. Hapo wa kuwahurumia ni wamiliki wa mabasi lkn hata hivyo co wa kuwahurumia cz wamezoea ulanguzi so ss tunaelekea kwenye ukweli halisi.Magufuli anataka hicho kipande cha Makutupora - Isaka wajenge jeshi?
Dah hii itakua bonge la project, kutoka Dar kwenda Mwanza itakuwa simplified sana ila pia Airtanzania itakula kwao kidogo since ndio their profitable route.
