Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania private sector haifiki hata nusu ya kenya
Kwa Ground sasa, Vitu ni different
JamiiForums416240246.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ni wajinga na wazembe sana. Eti hii reli matumizi yake yalisitishwa miaka 30 zilizopita, yaani mwaka wa 1990. Reli ambayo wachina waliwapa 1975 ikiwa mpya lakini baada ya miaka 15 mkawa mumeiharibu kabisa hadi ikafungwa. Waafrika wa aina hii hawawezi kulinda miundo mbinu. Kazi yao ni kuharibu tu. Mafala sana nyie. Sisi reli yetu ambayo ina zaidi ya miaka 118 bado inafanya kazi. Huku pia tuna reli mpya na itakaa kwa miaka mia moja zijazo. Wacheni kuharibu vitu kwa sababu hamutaki kurepair reli au treni zilizoharibika. Mnataka wachina wawafanyie kila kitu?
 
Nyie ni wajinga na wazembe sana. Eti hii reli matumizi yake yalisitishwa miaka 30 zilizopita, yaani mwaka wa 1990. Reli ambayo wachina waliwapa 1975 ikiwa mpya lakini baada ya miaka 15 mkawa mumeiharibu kabisa hadi ikafungwa. Waafrika wa aina hii hawawezi kulinda miundo mbinu. Kazi yao ni kuharibu tu. Mafala sana nyie. Sisi reli yetu ambayo ina zaidi ya miaka 118 bado inafanya kazi. Huku pia tuna reli mpya na itakaa kwa miaka mia moja zijazo. Wacheni kuharibu vitu kwa sababu hamutaki kurepair reli au treni zilizoharibika. Mnataka wachina wawafanyie kila kitu?
You are so ignorant, hiyo reli na wachina wapi na wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ni wajinga na wazembe sana. Eti hii reli matumizi yake yalisitishwa miaka 30 zilizopita, yaani mwaka wa 1990. Reli ambayo wachina waliwapa 1975 ikiwa mpya lakini baada ya miaka 15 mkawa mumeiharibu kabisa hadi ikafungwa. Waafrika wa aina hii hawawezi kulinda miundo mbinu. Kazi yao ni kuharibu tu. Mafala sana nyie. Sisi reli yetu ambayo ina zaidi ya miaka 118 bado inafanya kazi. Huku pia tuna reli mpya na itakaa kwa miaka mia moja zijazo. Wacheni kuharibu vitu kwa sababu hamutaki kurepair reli au treni zilizoharibika. Mnataka wachina wawafanyie kila kitu?

Hii sio TAZARA , Kabla hujamwaga Povu uwe unafanya kautafiti kidogo.


Inayoongelewa hapa ni hii ya Arusha.

View attachment 1536761
 
Nyie ni wajinga na wazembe sana. Eti hii reli matumizi yake yalisitishwa miaka 30 zilizopita, yaani mwaka wa 1990. Reli ambayo wachina waliwapa 1975 ikiwa mpya lakini baada ya miaka 15 mkawa mumeiharibu kabisa hadi ikafungwa. Waafrika wa aina hii hawawezi kulinda miundo mbinu. Kazi yao ni kuharibu tu. Mafala sana nyie. Sisi reli yetu ambayo ina zaidi ya miaka 118 bado inafanya kazi. Huku pia tuna reli mpya na itakaa kwa miaka mia moja zijazo. Wacheni kuharibu vitu kwa sababu hamutaki kurepair reli au treni zilizoharibika. Mnataka wachina wawafanyie kila kitu?
We unang'atwa na manyigu nini. Treni ya mchina ni Tazara na inapita hadi Rovos. rudi kitandani umalizie ndoto yako, hiyo ya arusha hata huijui mbwa wewe
 
Nyie ni wajinga na wazembe sana. Eti hii reli matumizi yake yalisitishwa miaka 30 zilizopita, yaani mwaka wa 1990. Reli ambayo wachina waliwapa 1975 ikiwa mpya lakini baada ya miaka 15 mkawa mumeiharibu kabisa hadi ikafungwa. Waafrika wa aina hii hawawezi kulinda miundo mbinu. Kazi yao ni kuharibu tu. Mafala sana nyie. Sisi reli yetu ambayo ina zaidi ya miaka 118 bado inafanya kazi. Huku pia tuna reli mpya na itakaa kwa miaka mia moja zijazo. Wacheni kuharibu vitu kwa sababu hamutaki kurepair reli au treni zilizoharibika. Mnataka wachina wawafanyie kila kitu?

Umeona hiko kipande cha kwenda Arusha?

IMG_0823.jpg
 
Back
Top Bottom