Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,886
- 12,948
#nonstopView attachment 1548473
Kumekucha
#nonstopView attachment 1548473
Kumekucha
Wangekuwa na plan hio ingejengwa moja kwa moja kwasababu ingekuwa rahisi ila mpango ni kuwa inapita chini ndio maana imeachiwa tu nafasiYeah kuna nafasi kati kati inaweza pigwa nyingne ya BRT
Kumbuka kuna brt itakayokatiza hapo ya kupitia Nelson Mandela roadHapana. Mwendokasi sio nyingi kama magari madogo na uelekeo mmoja. Magomeni zinapita chini na kuko vizuri sana, muda mwingi hakuna hata muongoza magari.
Itapita hapo kama zinavyopita magomeni. Na magomeni hakuna foleni inayosababishwa na mwendokasi.Kumbuka kuna brt itakayokatiza hapo ya kupitia Nelson Mandela road
Exactly, kama ulishakua mtumiaji wa barabara ya kukatiza ubungo kati ya mwenge na river side utaelewa kuwa BRT ni lazima ipite juu la sivyo hiyo mfugale itakuwa imenufaisha upande moja tu na wasipoweka flyover ntakua mojawapo ya watakaopiga kelele za huo uzembe kila maraSamora mwendokasi zinasababisha foleni mpaka wameweka traffic lights. Samora/Morogoro road junction imekaa vibaya,huwezi kuona mwendokasi likija hadi ufike kwenye junction usimame kabisa,sasa fikiria kila gari inakuja inasimama kwanza ndio ipite,foleni yake kama hamna polisi ni balaa.
Magufuli anataka hicho kipande cha Makutupora - Isaka wajenge jeshi?View attachment 1548473
Kumekucha
Nyomi ya usalama huwezi fananisha na tazara chief na pia kumbuka kinachosaidia magomeni ni u-turns ambazo hazipo tazaraItapita hapo kama zinavyopita magomeni. Na magomeni hakuna foleni inayosababishwa na mwendokasi.
We sema mezoa WaTz waliokua wakiponda nchi yao, now wengi wameamka na wengine wamekua inspired na Magufuli so hamna wa kuwasupport kuitukana Tzzidi kucheka upuzi ila watu wanakwepa jamiiforums kwasababu imejaa utoto siku hizi...imejaa imature guys of late na wale wamekomaa kiakili wanaenda mmoja mmoja wengi wao wakikimbilia skyscrapercity...skyscrapercity inavutia watu kwasababu haina utoto watu wako very mature kule.ikiendelea hivi jamiiforums itabaki watanzania pekee yake na kila ishara inaonesha inaelekea huko. food for thought
U-turns ni utaratibu wa brt ikijengwa hapo zitawekwa tena kutakuwa no-right turn kitu kitakachopunguza zaidi foleni. Kwani brt mfano ikitoka national stadium kwenda ubungo ikipita hapo inazuia magari gani wakati ya mjini yanapita juu?Nyomi ya usalama huwezi fananisha na tazara chief na pia kumbuka kinachosaidia magomeni ni u-turns ambazo hazipo tazara
Unafiki mbaya, kw elimu gani sasa mliyotuzidi nyinyiWametuzidi bidii tu sio elimu, n btw uzembe tunajitahidi kuachana nao Huo ndio ulitulostisha sana.Kingine naona wameongeza bidii sana kutafuna pesa za wanyonge na icho kitu kitawacost sana
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Usifananishe Morogoro road pale Posta na junction ya Ubungo. Pale Posta ni blind spot sio kama Ubungo.Exactly, kama ulishakua mtumiaji wa barabara ya kukatiza ubungo kati ya mwenge na river side utaelewa kuwa BRT ni lazima ipite juu la sivyo hiyo mfugale itakuwa imenufaisha upande moja tu na wasipoweka flyover ntakua mojawapo ya watakaopiga kelele za huo uzembe kila mara
Still kwa u-turns hiyo njia hazitasaidia kiviile maana ina magari mengi sana ya mizigo, kumbuka usalama magari ya mizigo ni machache sana. Kwa vyovyote vile the best approach ni kunyanyua flyover katikati ya hizo mbili kama wanajali future ya hiyo junctionU-turns ni utaratibu wa brt ikijengwa hapo zitawekwa tena kutakuwa no-right turn kitu kitakachopunguza zaidi foleni. Kwani brt mfano ikitoka national stadium kwenda ubungo ikipita hapo inazuia magari gani wakati ya mjini yanapita juu?
Kinachoongezeka hapo ni waiting time ya brt ya city centre to airport ambazo sio nyingi kama magari ya kawaida.
sasa kama bado kuna foleni halafu ukaongeza lane ya kukatisha si ndio utaongeza foleni zaidi?Usifananishe Morogoro road pale Posta na junction ya Ubungo. Pale Posta ni blind spot sio kama Ubungo.
Mfugale hadi kesho imenufaisha upande mmoja nakushangaa unasema brt italeta foleni Mandela wakati foleni ya Mandela iko pale pale hata brt hakuna. Source ya foleni ya Mandela ni buguruni junction.
Kwani sasa hivi mbona kuna foleni? Kuna brt? Unajua kwanini kuna foleni?Still kwa u-turns hiyo njia hazitasaidia kiviile maana ina magari mengi sana ya mizigo, kumbuka usalama magari ya mizigo ni machache sana. Kwa vyovyote vile the best approach ni kunyanyua flyover katikati ya hizo mbili kama wanajali future ya hiyo junction
Itaongezeka foleni ya kusubiri brt ipite for half a minute. Sio ile ya kusimamisha upande mmoja nusu saa kuruhusu gari za airport au Mandela zipite.sasa kama bado kuna foleni halafu ukaongeza lane ya kukatisha si ndio utaongeza foleni zaidi?
Just imagine ungekuwa Barca ushapigwa sita hala unaambiwa kuna option ya kumaliza mechi dakika ya 70 utafanyaje. Nondo zinazokuja si mchezo na inahitaji uvumilivu wa hali ya juu😆😂😂😂😂
Poleni sana. I can feel your pain and anger guys. But kukimbia sio suluhisho..embrace the facts na maisha yaendelee. Najua dose ni kali sana hamuamini mlichokutana nacho, next time msirudie kuchokoza wakubwa zenu kisa wako kimya unachukulia poa.
Ingekuwa poa sanaYah sehemu pekee ambapo mwendokasi husimama ni kwenye vituo na kwenye mataa, af pale Tazara kutakuwa na mwendokasi inayoelekea g/mboto na nyingine phase 4 nafikiri inayotokea ubungo to kurasini but foleni haiwezi kuwepo mana nazo zinasimama kwenye mataa japo kungekuwa na flyover nyingine ipite juu ya flyover ya sasa kwa ajili ya mwendokasi za kutokea Ubungo to kurasini ingekuwa poa sn.
Si tatizo lako shibewe haujielewi.......
huo ndiyo ukweli halisi