Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

jifanye kichaa...

hivi kwa akili ndogo uliyonayo haya majengo wanayojenga contructors wenu wa ndani unaona yapo imara...?

huu ni ujenzi wa uchafu zaidi ,serikali yenu inamatumizi mabaya sana ya kifedha yaani inatoa pesa inamlipa engeneer ajenge uchafu kama huu
View attachment 1548673View attachment 1548674View attachment 1548675View attachment 1548676View attachment 1548677View attachment 1548678
Naona umekasirika kweli, hayo majengo mbna yamejengwa na wapigaji..hakuna engineer aliyehusika hapo, hko ni ghetto boss
 
Nafaham vizuri sindio huyu alileta mada ya kikwet kujeng km 9000... ila sasa anaenda kuwa chiz
Mvumilie tu huyo anataka kulazimisha x kuwa y, eti anataka chadema ichukuwe nchi wkt hata ofisi hawana km co masikhara ni nn

Sorry wakuu cpo kisiasa ila ukweli usemwe jmn mana wanaleta masikhara wkt watu tupo serious.
 
Naona umekasirika kweli, hayo majengo mbna yamejengwa na wapigaji..hakuna engineer aliyehusika hapo, hko ni ghetto boss
maskini wew dada nakuhurumia

ghorofa lote kwa ujumla limrkuwa ghetto......?....au ghetto lipo ndani ya part ya ghorofa....?

unaokoelekea soon utakuwa kichaa
 
Back
Top Bottom