Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Upperhill roads are becoming better and better.
IMG_20200825_162014.jpg
 
we komwe una utoto mwingi....

98% kinachofanya binadamu atafute pesa ni njaa kali la sivyo binadamu tungekuwa tumeumbwa kwa kutokuwa na njaa hakuna ambaye sngejishughulisha kutafuta pesa.....
hizo asilimia 2 zilizobaki nakuachia ili uweze kununua ped na mahitaji mengine yakidunia....
Umewaza kibongo bongo kabisa yani, yani hko kwenu mnatafuta pesa kw ajili ya njaa kali..

Kwhyo wewe unaweza kuwe kinyumba ka ben pol sio
 
Nguvu ya uchumi sio chakula, ama wewe ukiambiwa ile familia uchumi wao uko vizuri wewe kw akili za haraka tayari utawaza chakula ...

Watanzania saa zote huaga mnawaza chakula, ndio manake mpka karne hii kw kampeni za siasa mnapikiwa wali.
Tell me Gomora, how can a family sustain/afford a decent metabolism without strong economic power at least at their level of living condition/standard?
 
Uchumi sio chakula, ukitaka chakula pambana ufanye kazi upate hela ndio uangalie km utanunua ule au utaendekeza starehe..

Ndio manake wanasiasa wenu huwabeba uwanaa sana, eti mtu anakuja alafu anapika wali mle ndio mmpigie kuraView attachment 1547705
Uwezo wako ya kufikiria na kuchambua mambo ya kiuchumi na kisiasa upo chini sana hilo lipo wazi. Jitahidi utoke huko chini matopeni.
 
Hzo nchi pia private sector ipo vizuri na haiyumbishwi kijingajinga..
Kuna utofauti wa nchi kuwa tajiri na nchi yenye uchumi mkubwa..
Hvyo ni vitu viwili tofauti kaka..

Kazi ya uchumi sio kulisha watu
Leo nakubana mpk makalio hayo hutoki leo, haya niambie nani kaongelea habari za private sector na utajiri wa nchi, hapa tunaongelea gdp kwmb inakuwaje gdp yenu kubwa kuliko Tz hapo hapo idadi ya watu kwenu ni ndogo kuliko kwetu which means per capita yenu kubwa kuliko yetu and yet u fail to afford ur basic needs?
 
Nguvu ya uchumi sio chakula, ama wewe ukiambiwa ile familia uchumi wao uko vizuri wewe kw akili za haraka tayari utawaza chakula ...

Watanzania saa zote huaga mnawaza chakula, ndio manake mpka karne hii kw kampeni za siasa mnapikiwa wali.
We mpuuzi ukisikia mtu yule ni maskini mana ake kitu cha kwanza kinamsumbua ni njaa, ukiona mtu anaonekana yupo vzr kiuchumi maana yake kitu cha kwanza hakimsumbui ambacho ni chakula.
 
Lengo la uchumi ni ili mtu ama nchi iweze kujipatia mahitaji ya msingi ya binadamu, hilo ndio lengo kuu la binadamu yeyote kufanya kazi ili kupata uchumi, hayo mengine ni ziada tu.

Hakuna duniani, tena ninarudia kwa msisitizo, uchumi wa mtu au nchi hauna maana kama huo uchumi haujamaliza shida ya chakula, maji na malazi.
Na ndiyo msingi wa kila kitu unaanzia hapo.
 
Hehehe!!hzo ni assumptions tu jomba na wala sio kila mtu anafikia hvyo viwango
Unakuta nchi ina per capita ya zaidi ya $50k lkn bado utakuta miji yao kumejaa watu homeless km nini..

Kw mfano new york na dubai, kw akili za haraka haraka new ina uchumi mkubwa..
Lkn ukiangalia vitu kw groun NYC ina wazawa kibao kw street wanayumba kimaisha..

Narudia tena, uchumi sio chakula bali ni level ya ukuzaji wa bidhaa na huduma za viwango
Usifananishe newyork na vitu vya kijinga
 
Back
Top Bottom