Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

F78FD5EA-4A67-465A-8B98-F4D48F85EFE1.jpeg
 
Hahahaha!!watoto wakali wa NYC ukimuahidi trip ya dubai hatolala
Unakuwa mjinga sana,hao hao watoto wakali wa NYC ukiwaahidi trip ya kibera pia hawatoweza kulala..si huja sana hapo kibera!?!!..kwa hiyo unataka kusema kibera ni bora zaidi ya newyork

Newyork isikie tu mzee,ile city ukidondoka, unaweza kuchanganyikiwa ukawa unacheka tu muda wote,kwanza city ina watu mob wa kila race,night club za strippers mzee from bronx yaani kila kona,hakuna kitu unakosa newyork..NYC offers everything
 
Unakuwa mjinga sana,hao hao watoto wakali wa NYC ukiwaahidi trip ya kibera pia hawatoweza kulala..si huja sana hapo kibera!?!!..kwa hiyo unataka kusema kibera ni bora zaidi ya newyork

Newyork isikie tu mzee,ile city ukidondoka, unaweza kuchanganyikiwa ukawa unacheka tu muda wote,kwanza city ina watu mob wa kila race,night club za strippers mzee from bronx yaani kila kona,hakuna kitu unakosa newyork..NYC offers everything
Mbna povu
Dubai iache iitwe dubai tu jomba, hata mkeo akipata danga anachagua dubz
 
wakenya huwa si wabunifu ni wazito kifikra ndiyo maana huwa nasema kuwa kwenye sector ya ujenzi wakenya wapo zerooo,,,,mpaka wajengewe ...

mfano mzuri angalia visurburb walivyojenga ni vituko n Kila mwaka huwa vinaanguka...
Jengo lenu la TPA ka design mkenya na lile jengo ni kati ya yale bora bongo nzima
 
wakenya huwa si wabunifu ni wazito kifikra ndiyo maana huwa nasema kuwa kwenye sector ya ujenzi wakenya wapo zerooo,,,,mpaka wajengewe ...

mfano mzuri angalia visurburb walivyojenga ni vituko n Kila mwaka huwa vinaanguka...
Suburb gani imeanguka, kwnaza unajua unaongea nini..sometime soma kwanza ulichokiandika before u post
 
Suburb gani imeanguka, kwnaza unajua unaongea nini..sometime soma kwanza ulichokiandika before u post
jifanye kichaa...

hivi kwa akili ndogo uliyonayo haya majengo wanayojenga contructors wenu wa ndani unaona yapo imara...?

huu ni ujenzi wa uchafu zaidi ,serikali yenu inamatumizi mabaya sana ya kifedha yaani inatoa pesa inamlipa engeneer ajenge uchafu kama huu
images%20(12).jpg
images%20(11).jpg
images%20(10).jpg
images%20(2).jpg
images%20(1).jpg
images.jpg
 
Nyie Wakenya msijisumbue kuifananisha miji yenu iliyopangiliwa vizuri na miji ya Tanzania,kiufupi Tzn hakuna mipango miji nchi nzima utakakakopita ni slums tupu na hata wahusika hawajali yaani wanaona kuishi kiholela kama ng"ombe sio tatizo,jamii hazina elimu wala ustaarabu na wanaona kuishi kwenye maeneo yaliyopangwa ni ufahari na sehemu za matajiri
Ndio sababu unakuta dream houses kila sehemu no order,kama wanabisha waambie wakupe mji wowote uliopangwa vizuri kama huu
Pumba zikiwa nyingi ni shida sana....
 
Back
Top Bottom