Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lengo la mwendokasi ni kupunguza foleni, na ufanisi wake ni pale phases zote zitakapokamilika, mwendokasi si kwamba haisimami kwenye taa ila ina njia yake maalumu haisimami pamoja na magari mengine so haiwezi tengeneza foleni.
Yah sehemu pekee ambapo mwendokasi husimama ni kwenye vituo na kwenye mataa, af pale Tazara kutakuwa na mwendokasi inayoelekea g/mboto na nyingine phase 4 nafikiri inayotokea ubungo to kurasini but foleni haiwezi kuwepo mana nazo zinasimama kwenye mataa japo kungekuwa na flyover nyingine ipite juu ya flyover ya sasa kwa ajili ya mwendokasi za kutokea Ubungo to kurasini ingekuwa poa sn.
 
New york
stringio (1).jpg

Nairobi
1-7.jpg
1-7.jpg
stringio (1).jpg
1-7.jpg
 
Yah sehemu pekee ambapo mwendokasi husimama ni kwenye vituo na kwenye mataa, af pale Tazara kutakuwa na mwendokasi inayoelekea g/mboto na nyingine phase 4 nafikiri inayotokea ubungo to kurasini but foleni haiwezi kuwepo mana nazo zinasimama kwenye mataa japo kungekuwa na flyover nyingine ipite juu ya flyover ya sasa kwa ajili ya mwendokasi za kutokea Ubungo to kurasini ingekuwa poa sn.
Pia mkuu ...ukiangalia raman y phase 3 pale tazara kutakuwa n njia mbil za brt moja itaenda Gongo la mboto na nyingine itapita mandela road mpka buguruni na kuelekea aman kisha k/koo ....sasa kusipo kuwa n plan nzuri linaweza kuja kuleta tatizo kubwa la foleni pale ukizingatia ile ni njia ya port
 
itapita chin.. magari ya mwendokas si mengi kweny hio njia... kule chin mwendokas yataruhusiwa ikiwa magari ya kawaida yataruhusiwa kwenda from left to left lane
Mkuu kumbuka pia kutakuwa na line mbili tofauti za BRT moja ya gongo la mboto n nyingine ya mandela katika phase 3
 
Pia mkuu ...ukiangalia raman y phase 2 pale tazara kutakuwa n njia mbil za brt moja itaenda Gongo la mboto na nyingine itapita mandela road mpka buguruni na kuelekea aman kisha k/koo ....sasa kusipo kuwa n plan nzuri linaweza kuja kuleta tatizo kubwa la foleni pale ukizingatia ile ni njia ya port
Ni phase 2 au phase 3 mkuu.
 
Yah sehemu pekee ambapo mwendokasi husimama ni kwenye vituo na kwenye mataa, af pale Tazara kutakuwa na mwendokasi inayoelekea g/mboto na nyingine phase 4 nafikiri inayotokea ubungo to kurasini but foleni haiwezi kuwepo mana nazo zinasimama kwenye mataa japo kungekuwa na flyover nyingine ipite juu ya flyover ya sasa kwa ajili ya mwendokasi za kutokea Ubungo to kurasini ingekuwa poa sn.
Flyover itakuwa kwa ajili ya gari zingine, mwendokasi zitakutana hapo chini - ground level.
 
Back
Top Bottom