Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

pichas hazihitaji maelezo [emoji23][emoji23]
IMG_1597777270.965495.jpg
IMG_1597777282.852243.jpg
 
Tanzania tuna kila sababu ya kuwa economic giant in EA... tulishindwa tu kupata mtu anaejiamini na kuiamini Tanzania yenyewe kwamba tunaweza.. yale maparachichi ‘yanayodaiwa’ kutoka kenya soon hayataonekana!
Hili la nyama Tanzania italiteka bara Asia sana,'Halal',ni kitu ambacho kinazingatiwa sana Tanzania.
 
Tanzania tuna kila sababu ya kuwa economic giant in EA... tulishindwa tu kupata mtu anaejiamini na kuiamini Tanzania yenyewe kwamba tunaweza.. yale maparachichi ‘yanayodaiwa’ kutoka kenya soon hayataonekana!
We need kama Tanchoice 5 hivi by the end of Next 5 years...lets see if other will follow..hapo bado viatu kutoka kiwanda cha Karanga Factory Moshi
Kuna viwanda kama 7 vya madawa vipya vinajengwa Pwani soon tutapunguza bill za kuimport Dawa...Ambazo zinacost kama 250$milnusd kwa mwaka...

Avocados ziko moto kitaeleweka ..we just need to get the cargo plane ...na Kupiga Cargo facilities mbeya which vyote vinafanyika
 
Back
Top Bottom