toptorn
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 1,224
- 3,057
😀 dah!Heheheheheeee mkuu kuhusu hili suala la wese Magu atapambana mpk kieleweke mana hisia zake zinamuambia kabisa wese haliwezi kosa Tz piga ua na hata viashiria vingi vinaonesha hivyo, pia Magu anataka agundue wese ili aanze kutoa mikopo ya riba nafuu kwa nchi zngne ikiwemo kenya zen washindwe kulipa akachukue lamu port [emoji3][emoji3][emoji3]