Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kati ya mtanzania nani mkenya anaongoza kufuatilia mambo ya mwenzie? Nimewahi sikia Samata ni mkenya, Magufuri, Mt Kilimanjaro iko kenya, Tanzanite, Diamond Platnumz, Olduvai gorge... na mengine kibao, nitajie japo kitu kimoja mbongo alifuatilia kuhusu kenya na hata akaclaim ni chake [emoji23][emoji23][emoji23]
Haha come again? Usilazimishe waKenya kufuatilia TZ. HAHAHA

IMG_20200812_203059.jpg
 
Volume

Volume ipo stardard mkuu,wale Northerners wanasema Wana GDP kubwa vp tena? Wanatamba humu mchana kumbe usiku wanawasha vibatari na mishumaa,shubamit!
GDP yetu karibu mara mbili yenu. GDP ya NAIROBI inakaribia GDP yote ya MUUNGANO wenu 😹😹. Mbona tuu hii iko in the public domain inajulikana?
 
Mtangonja sana 😹
Kwa ninachokiona Tz itakuwa inatoa mikopo na Wallah naapa naiona Kenya km mteja wetu wa kwanza kwenye mambo ya mikopo....Magufuli aliongea mara kadhaa kuwa sisi ni Matajiri mara paap ..wakatutangaza wenyewe.kwa nini ishindikane kuwa km Ulaya??????

IMG_20200818_123548.jpg
 
mbona hu zoom ukatuonesha hzo slum ili tuone na tuamini ww unaakili kuliko mzungu😂😂😂

Hahaha nani kaongelea slums? Mbona mnajishuku? 😹😹😹

Nimeweka kuonyesha jinsi kijiji chenu hakijapangwa. Kumetapakaa tuu. Halafu eti NAIROBI tujifunze kutoka kwenu? 😹😹😹 nimecheka sana
 
HAHAHAHA nimecheka sana. Mnalazimisha battle na nyinyi wenyewe HAMPO! 😹😹

 
Back
Top Bottom