Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata kwa mbinde sipandi, hapo si ukitoka unanuka ushuzi..
Kumbe akina ndinda huingia na kunikishiana vikwapa
acha ushamba tembea ujioneee,,,,,,
.
masuala ya population kubwa kwenye vyombo vya usafiri ni vitu vya kawaida tu hasa mida ya asubuhi na jioni...
hali kama hii ipo kila taifa ukitaka kujiachia kwa mida kama hiyo kuwa kwenye usafiri wako......
IMG_20200809_125934.jpg
 
Nilichokuwa nikisema hapa jana, ambacho ni cha muhimu, kwa kaka zangu Wabongo ni kwamba wana ushamba fulani (Village mentality) hata kwenye miji mikuu.
View attachment 1531941View attachment 1531942View attachment 1531944View attachment 1531945View attachment 1531946View attachment 1531948View attachment 1531949View attachment 1531950View attachment 1531952
Yani uko na wenge sana ww ....swala la kuwa na street vendors Dar siyo shida ila kwamaeneo nliy post hakukuwa na hao street venders...acha ujinga hapo kwenu ndio hayari tupu...pimbi wewe....kusu watu kujaa kweny BRT ni kawaid hasa mda wa peakhours(rush time) kwani nyie mko sayari gani ...nenda hata Japan utaelew....View attachment 1532067
Screenshot_20200809-141952.jpg
 
Mr wanjala bwana, hebu define basi ( Village Mentality)

Je ni kuhusu Hawkers?

Hata kwenu wapo

View attachment 1531956
View attachment 1531957
View attachment 1531958
View attachment 1531959

Kujazana kwenye Bus? Noma sana kuja jiji la First word nilikua sihangaiki kushikilia popote nimebanwa mpaka nafika na support ya walionikandamiza .



View attachment 1531971
View attachment 1531972


But you are someone from here?

View attachment 1531985
View attachment 1531986
View attachment 1531987
View attachment 1531989
View attachment 1531990
Yani hawa bado sana wanaonekana wapo dunia ya pekeyao ...na upimbi wao
 
Back
Top Bottom