Ntaghacha
JF-Expert Member
- Jul 28, 2020
- 1,412
- 4,122
Hawa jamaa,kila kitu kibaya kikitokea kwao,wanataka waiunganishe na Tanzania,Kwanza hizo mask zilipitaje kuingia Tanzania wakati huwa zipo kwenye vifungashio vikubwa? Yaani huu ni uchafuzi wa nchi yetu,ntamshangaa Kama balozi wetu atalinyamazia hili.Ummy Mwalimu aingilie Kati hapa. Hatutaki shutumu za kijinga. JPM alipinga matumizi ya imported masks. Akasema kila mtu atengeneze za kwake.