Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Working with Histograms[emoji1476][emoji3]

IMG_0294.jpg
 
Hii ndio ile uswaz ya ubungo, ilala, na kijito nyama respectively[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382]View attachment 1523440View attachment 1523442View attachment 1523443View attachment 1523444View attachment 1523447
Wajua Bongo kuna architecture nzuri kwa building kadha. Ila mpangilio hakuna. Kama hapa. Ona Morocco Square, ona barabara nzuri, lakini hebu angalia kandokando. Nairobi yaweza kuwa na Slum lakini zina mahali pake sio kila sehemu ilivyo Dar
IMG_20200729_200223.jpg
 
Sehemu nyingi Dar huwa hivi, hata kando ya Posta karibu na bahari huwa na wavuvi na wamechafua eneo hilo ajabu. Sehemu kama hizi huharibu taswira ya jiji hili la Dar es Salaam
IMG_20200729_194815.jpg
IMG_20200729_200116.jpg
IMG_20200729_195152.jpg
 
Km ndo hvyo basi Tz ndo usiguse kabisa kuna matajiri hata 5 bora hawamo humu Tz lkn wanapesa mara 10 ya Mo ambaye ndiye tajiri wenu EA.
Hehehe!!yani kitu ambacho nyangau hapendi ni kujitekenya ili aingie forbes..
Kw mfano tu, nenda katika jaribu la forbes uone km utamkuta jimmy wanjigi
 
i got this comment somewhere in this forum &
it’s true


Halafu Uhuru na serikali yake wana copy hatua zote za U.K za kupambana na Covid 19.
U.K walipo weka Lockdown na Kenya nao wakafata mkumbo. Walipoondo lockdown na Kenya nao wakafuata. Sasa hivi UK wapo kwenye mgogoro na Spain kuhusu quarantine na travel ban, Kenya nao wame copy.
Kenya wapo obsess na UK kama mademu wao walivyo obsess na vibabu vya kizungu!
Nani kakwambia kenya kulikua na lockdown
 
Wajua Bongo kuna architecture nzuri kwa building kadha. Ila mpangilio hakuna. Kama hapa. Ona Morocco Square, ona barabara nzuri, lakini hebu angalia kandokando. Nairobi yaweza kuwa na Slum lakini zina mahali pake sio kila sehemu ilivyo Dar
View attachment 1523968
Hii picha ni ya zamani. Kando kando kwa sasa kuna road expansion inaendelea. Kuna space pia itaachwa kwa ajili ya kujenga pillars za Dar Metro 🚋
EAFEBE94-859F-4CF7-A02C-F288E0455CC7.jpeg
 
Una uhakika gani km mm sie, hujui km Tz ndo pekee tuna dollar billionaire ukanda huu? Je km mm ndie huyo billionaire mwenyewe? Swali km hilo nkuulize ww mana kwenu hakuna possibility yyte ya kuwa na billionaire.
Pale mtanzania anapotafuta attention ili naye aonekane anajua kutema facts mbele ya wakenya
 
Hehehe!!yani kitu ambacho nyangau hapendi ni kujitekenya ili aingie forbes..
Kw mfano tu, nenda katika jaribu la forbes uone km utamkuta jimmy wanjigi
If you managed to notice Jimmy wanjigi was a billionaire why can't anybody Elses' The truth is that you can't hide your weath_ From the Cash you put in a bank or an assets you own, when you're a billionaire you must have some really performing businesses in the market and people would start recognizing you from there_
 
Back
Top Bottom