Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This is all Dar. Waweza ukataja hizo places zote hapa
View attachment 1523068
Niaibu kujitoa ufaham...nionyeshe hiii...tuuu wala sina haja ya kukuonyesha zaid
JamiiForums-903954.jpg
 
Sehemu nyingi Dar huwa hivi, hata kando ya Posta karibu na bahari huwa na wavuvi na wamechafua eneo hilo ajabu. Sehemu kama hizi huharibu taswira ya jiji hili la Dar es Salaam
View attachment 1523974View attachment 1523975View attachment 1523976
upo sawa kiasi wanjala,,,,

suala la wamachinga kuachiwa kutapakaa ni tatizo sana ila uzuri hiyo si sehemu yao maalum hapo mda wowote wanaweza kutimuliwa....

kidogo siasa inatuletea shida.....

leo umecheza na point nakupongeza ila kwa hapo kijitonyama si sehemu mbaya hata siku ukija dar tembelea utaona
 
Hehehe!!yani kitu ambacho nyangau hapendi ni kujitekenya ili aingie forbes..
Kw mfano tu, nenda katika jaribu la forbes uone km utamkuta jimmy wanjigi
Hehehe!!yani kitu ambacho nyapaka hapendi ni kujitekenya ili aingie forbes..
Kw mfano tu, nenda katika jaribu la forbes uone km utamkuta Lukas wanjiru
 
Wajua Bongo kuna architecture nzuri kwa building kadha. Ila mpangilio hakuna. Kama hapa. Ona Morocco Square, ona barabara nzuri, lakini hebu angalia kandokando. Nairobi yaweza kuwa na Slum lakini zina mahali pake sio kila sehemu ilivyo Dar
View attachment 1523968
Iyo morrocco wala usijali kuna mabadiliko makubwa yanakujaa mtaniambia....iyo ni eneo moja litakalo kuja kukimbiza EA...amini kwamba
 
Back
Top Bottom