Kapepo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,078
- 1,227
Bongo tamu mzeeImagine road trip hapo![]()
Bongo tamu mzeeImagine road trip hapo![]()
Tz kila mkoa mzuri kwakweliMikindani ni pazuri balaa, Kwetu Pazuuri...!
Hiyo picha sio zamani vile. Tena nilikuwa naitoa kama mfano ambapo majumba mazuri kama hili hujengwa katika ya eneo la kushangaza.Hii picha ni ya zamani. Kando kando kwa sasa kuna road expansion inaendelea. Kuna space pia itaachwa kwa ajili ya kujenga pillars za Dar Metro 🚋View attachment 1524026
Zaidi ya noma 😍💪
Acha kujifariji Wanjala.Hiyo picha sio zamani vile. Tena nilikuwa naitoa kama mfano ambapo majumba mazuri kama hili hujengwa katika ya eneo la kushangaza.
View attachment 1524055
Lakini ukichukua picha kwa mbali huonekana vizuri. Kama hivi
View attachment 1524061
Lakini ukweli ni kama hivi
View attachment 1524062
Kama Kenya hapakuwa na lockdown basi kulikuwa na lockupNani kakwambia kenya kulikua na lockdown
Sehemu nyingi Dar huwa hivi, hata kando ya Posta karibu na bahari huwa na wavuvi na wamechafua eneo hilo ajabu. Sehemu kama hizi huharibu taswira ya jiji hili la Dar es Salaam
View attachment 1523974View attachment 1523975View attachment 1523976
Kawawa roadView attachment 1524053
Jamaa anafagia zake mji uendekee kua msafi
Kijingitile ndio NnSasa wacha niwaambie ukweli wamapadlock hamna chochote cha kutishia wakenya ni ujinga mko nayo. Kama mliamini majimaji what tell us about you. Mapadlock na kijingitile


Mkuu Photographer Is My Arts