Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu na kuhusu KQ 255 ilikua ina subili wajichanganye haiwezeka Tz waje 19× a week afu kwao tuambulie patupu me naona kazi ndio imeanza wameingia mkenge wenyewe.
elimu ya kenya si kitu hawajui kabisa kucheza na mind set za watu......

washikaji ni zero kabisa
 
Hayo ni majengo 18 tu Nairobi yote inamajengo ya gorofa juu ya gorofa 6 yasiyo zidi 80 kama mnabisha leteni picha tu hesabu.
Kama hiyo picha ni magorofa 18 huki zidisha × 5 = majengo yote ya Nairobi juu ya gorofa 6 wakati dar ina majengo juu ya gorofa 6 zaidi ya 500
Akili za saint kayumba hzo
 
Ni aibu snaaa mko hapa na kelel zote ila K/koo tu inawahenyesha.. .na hamna uwezo wa kuilipa...ndio mjue Tz ikoje na mind you ...hiyo k/koo inamilikiw na waswahili wenyew
Kariakoo
Inakaa eastlands hku
 
Mngekua hamtuhitaji izo ndege zilikua zinafuata nn bongo chapeni route za kisumu na eldoret zaidi
Mtajua hamjui, kwani wataali wengi kutoka Europe na US lazima wapitie kenya kuenda tanzania, watu wa mapadlocks mtajipanga
 
Hahahaha, bado, KQ can still use sky team alliance partnership to circumvent this,,,bado tutaingia tanzania,
kama hiyo sky team alliance partnership inaimiliki Tsnzania sawa,ila kama sivyo endeleeni kujipa moyo....
mnatukosea halafu mnategemea alliance partnership

Tunamaamuzi yetu kama nchi na hakuna partnership itakayo tuyumbisha nyie mnasema kuwa Tanzania haipo salama hizo route zenu za ndegs zinakuja kufanya nini sasa,,,,hamjioni kama ni wapumbavu..
 
Una uhakika gani km mm sie, hujui km Tz ndo pekee tuna dollar billionaire ukanda huu? Je km mm ndie huyo billionaire mwenyewe? Swali km hilo nkuulize ww mana kwenu hakuna possibility yyte ya kuwa na billionaire.
Kulingana na jarida la forbes, ww hujui km kuna watu wana hela lkn forbes haiwatambui
 
Walioshajaribu wenzako,wakalala mbele.

Embu nionueshe moroco and the whole kinondoni katika hiyo picha..


Fanya haraka.
Ila umeenda mbali sana mkuu, atuoneshe hata towers za BOT Posta au kituo hata kimoja cha BRT Kariakoo
 
IMG-20200801-WA0004.jpg
 
we kichuna wangwe,,,hebu nitajie basi hao millionaires na billionares 3000+ wa kikenya walio hide...

nakungojea mamaa
Kwanza ukizungumza kwa USD Millionaires na Billionaires waliojificha wengi ndio Watanzania, mfano halisi ni Laizer alieanza kujenga mole ya $2.5 M tokea 2016 ndo amekuja kutambulika baada ya kupata yale mawe ya Tanzanite
 
Back
Top Bottom