Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Magu hajawahi kushindwa jambo... hili la kenya kutuzuia ndo imempa nguvu kuchukua mamlaka zaid... tutarajie ndege za Tanzania kutua kenya pale majadiliano yatakamaliziwa.. kumbuka tulichofanya kuzuia usafirishaji wa makinika na swala la madini na Barrick... Magu hawezi kununua ndege afu hizo ndege zisitue viwanja vya kenya
Hii ndo shabaha yetu...tuangaze kila mahala,angani ,majini, na ardhini.
 
We una dhani sisi ni wajinga, cs wetu amejibu mapadlocks
😂😂😂👇👇👇👇👇
300CCD46-3378-4FDE-9B5C-7172A87A3995.jpeg
 
magufuli munamjua nyinyi au😂😂👇👇
View attachment 1523841
Hawana uwezo wa kukaza hata kidogo mi nilikuwa nacheka tu comments za watu za humu JF zakujitutumua Kenya Airways wanategemea sana tena sana soko la Tanzania katika aviation ndani ya East Africa!!!!na wanafanya vizuri kwa sababu kuna movement kubwa sana kati ya Kenya na Tanzania kutokana na muingiliano wa kiuchumi kati ya nchi hizi mbili ukichanganya na idadi ya watu kiuhalisia wao ndio wenye nyama kubwa kwa sasa!!!!!na wanafaidi sana,Ni wakati wa kunegotiate Air Tanzania kuanza kuruka kwenye anga la Kenya kibiashara. Na hii ndo itakuwa matanga ya KQ rasmi.SA wenyewe wametugwaya.....!!!!!!!!!.Sembuse huo ubwabwa wa hapo juu!!!!!!Tutaula mchana kweupeeeeeeeee!!!!!!!!
 
Hawana uwezo wa kukaza hata kidogo mi nilikuwa nacheka tu comments za watu za humu JF zakujitutumua Kenya Airways wanategemea sana tena sana soko la Tanzania katika aviation ndani ya East Africa!!!!na wanafanya vizuri kwa sababu kuna movement kubwa sana kati ya Kenya na Tanzania kutokana na muingiliano wa kiuchumi kati ya nchi hizi mbili ukichanganya na idadi ya watu kiuhalisia wao ndio wenye nyama kubwa kwa sasa!!!!!na wanafaidi sana,Ni wakati wa kunegotiate Air Tanzania kuanza kuruka kwenye anga la Kenya kibiashara. Na hii ndo itakuwa matanga ya KQ rasmi.SA wenyewe wametugwaya.....!!!!!!!!!.Sembuse huo ubwabwa wa hapo juu!!!!!!Tutaula mchana kweupeeeeeeeee!!!!!!!!
mkuu umesema vyema ukweli juu ya ukweli......yaani ndege zetu ni chache chaajabu washaanza kupagawa mapema.....
 
Back
Top Bottom