Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

TOWER INATAKA KUAMKAAAAAADuh, Sawa Mkuu Wanjala , sasa hapa kuna nini ambayo imekua Demolished. ( Ukiangalia hayo majani pembeni hamna dalili yoyote kama kulikua na structure yoyote hapo. BTW, Kwa majibu haya Tunajifunza mengi sana .

View attachment 1518394
Wewe huoni kwamba hivyo ni vifusi!? Kulikuwa na nyumba ndogo kando na hizo post za umeme lililoangushwa. Amevitumia tu kujaza mabonde kwenye hiyo road reserve. Kutakuwa sawa tu baadaye wakifanya landscaping
 
Funga bakuli pita kulee....maneno yako pelekae pimbi wenzio ....unajib fact kwa manenoslum ....
Ndio rangi izi..ulimanisha?...watembea kwa miguu wanapita njia moja n magari.... ujinga mtupuView attachment 1518155
Akili huna, naona wewe ni yule yule Ichoboy na akaunti nyingine. Kama siye basi wabongo hamna hongo.
IMG_20200624_140200.jpg
 
Pamoja na vitisho vyote vya policcm bado watu wameenda kumpokea mwamba,tunamsubiri huku mikoani tumdekie barabara
Hakuna kama Lisu mtetezi wa haki na shujaa wa kweli wa kunyoosha Yesu wenu wa hapo Lumumba
Hivi unadhani lisu anaweza kuwa raisi,na una amini kabisa. ..aisee kuna watu hapa duniani wanaishi tu ilinradi siku ziende,siku ukikua utajua hii nchi ipoje
 
When people are struggling with Upperhill, Kilimani, Westlands, Parklands, Parkroad, Runda Hurlinghum, Kileleshwa etc, other hoods like Ruaka are coming very fast. Only 2018, it was a bush, 2 years later and it is a City
IMG_20200727_234413.jpg
IMG_20200727_234405.jpg
 
There are projects in Nairobi that are big. This project in Ngara is huge.
10 Towers 8 Floor
6 Towers 15 floor
10 Towers 20 Floors
6 Towers 25 Floors.
Sorry for poor quality
IMG_20200727_234357.jpg
IMG_20200727_234354.jpg
IMG_20200727_234351.jpg
 
Back
Top Bottom