Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20200727-210935_Instagram.jpg
 
Eti kijitonyama iwe CBD,hahaha,tens ilala hamna kitu,ile tu picha moja ya background ya kariakoo huwa tana pangaizwa nayo eti ilala,hahaha
Najua uliangaik kuangali km utakut related building sorry for that i dont cheat if we dont have that's it....real simple i just show eactly found in Dar es salaam...kama imekuma nenda kalete zile estate zenu ujitulize ...
 
ila nimejiuliza au nina wasiwasi... mtu katoka nje ya nchi (zenye corona) ila amejimuhisha moja kwa moja na watanzania, what if amepata corona on the flight or on the way in between then akawaambukiza.. hapo tu ndo nina wasiwasi!
na mbona isiwe yeye kuambukizwa?
 
nadhan hujaelewa.. unaweza kuwa na corona na isionyeshe dalili kwako, ila utakayemuambukiza anaweza kuonyesha dalili after a few no of days

anyway achana nayo.. wasiwasi ni mtu kutoka nje then immediately anajumuika na kundi kubwa la watu.. kujumuika na kundi kama familia sio shida... shida ni ile kundi la watu weng sana

Umeeleweka vizuri sana ndugu yangu, lakini ukweli ndio huo hata kama una certificate ya nchi uliyotoka joto lako likizidi 38 deg kwenye thermal scanner, paap vijand watakuvta pembeni, kwa sababu hiyo inaitwa red flag.

FYI unaweza ku-formulate problem ya Covid-19 Compliance requirements (CCR) as a double constrainted equation as follows:

CCR = certificate aliyopata within a specified time frame & pass of thermal scanner test === No 14 days self isolation,
ELSE
unavutwa chemba kwa maelezo zaidi🙂

Huo ndio utaratibu unaotumika kwa sasa hata kule KIA kwa watalii walioanza kuingia tena nchini.
 
Inaonekana news za Tanzania zinapendwa sana Kenya, mbona hii ni habari ndogo sana kwa vyombo vya habari vya nchi jirani kuirusha?
 
Back
Top Bottom