Uhuru n Umoja
JF-Expert Member
- May 25, 2016
- 1,160
- 2,226
Umeona enhee. ..!
Mandela alisafiri kuja Zambia na Tanzania kupata veto ya Kenneth Kaunda na Julius Nyerere kuhusu ni nani sahihi kumuachia Madaraka na uongozi wa ANC kati ya Cyril Ramaphosa na Thabo Mbeki, both Nyerere na Kaunda walimpa Mbeki.
Ipo kwenye books.




