Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi unadhani lisu anaweza kuwa raisi,na una amini kabisa. ..aisee kuna watu hapa duniani wanaishi tu ilinradi siku ziende,siku ukikua utajua hii nchi ipoje
Ndio naamini,uchaguzi ukiwa huru na haki atashinda uchaguzi kiulaini kabisa,pamoja na mtu wenu kuvunja watu miguu,kupiga risasi ,kufungulia kesi ,kununua wapinzani nk nk lakini jana umejionea mwenyewe kwamba cdm haitakaa ife hata jiwe apige sarakasi gani na hata ajitukuze na kutukuzwa vipi hakubaliki anasalia kuwa mtu katili kuwahi tokea Tzn kama unabisha subiri uone kampeni zianze,ile jana ni trailer tu
 
Alaf usiwe unaniquote mim maana wew umekaa kisiasa tu sis hatuko huko postive na negative tunaziongea ila sio kisiasa
Sikukuti wewe kwa sababu nina shida na wewe,noo..nakukoti contents zako ili kuweka sawa hutaki fanya unachoweza,hata mpiga pambio mwenzako the best alisema hivi hivi na nikamjibu kama wewe
 
Msikieni huyu mlevi

Rais Kenyatta Awataka WAKENYA Kutojilinganisha na Nchi Zinazoficha Taarifa za Corona
Screenshot_2020-07-28-12-31-46.jpeg
 
Ndio naamini,uchaguzi ukiwa huru na haki atashinda uchaguzi kiulaini kabisa,pamoja na mtu wenu kuvunja watu miguu,kupiga risasi ,kufungulia kesi ,kununua wapinzani nk nk lakini jana umejionea mwenyewe kwamba cdm haitakaa ife hata jiwe apige sarakasi gani na hata ajitukuze na kutukuzwa vipi hakubaliki anasalia kuwa mtu katili kuwahi tokea Tzn kama unabisha subiri uone kampeni zianze,ile jana ni trailer tu
Pole sana
 
Mkiona hamna pakutokea km panya kweny mlango ....vilio vinaruhusiwa... hamna ubavu wa kuitikisa Dar pimbi nyie....
Pakutokea wapi na wakati una act km mtoto mdogo..
Unafikiri ukiendelea hvo ndio utapendwa
 
Unangaik n uyu pimbi hana cha msingi analet barabara yenye halfside walks na hakuonekani km hata wanampango wakuweka upande wapili... ndio ishindane na sandton....bure kabisa awaaa
Halfside walks ndio nini tena jamani
 
Back
Top Bottom