Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Upanga, cbd, kariakoo, ilala hamna kitu zaidi ya hapo unaweza weka jf
Usije na akil za kitot kwang ...niambie tu unahitaj kuona maeneo mengine zaid ya hayo...na nipo hapa kukupa bilashakachukua hizi kinondoni,Ubungo na futurelistic CBD kijito nyama
JamiiForums299753569.jpg
JamiiForums317525115.jpg
Screenshot_20200726-125322.jpg
JamiiForums1056340583.jpg
JamiiForums-985501763.jpg
JamiiForums1966626390.jpg
 
Hatimaye Tundu Lissu amerejea nyumbani, na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu amefika salama inshallah.

Lengo langu hapa co kuripoti ujio wa Tundu Lissu la hasha bali ni kuwaonesha Wakenya na dunia kwa ujumla jinsi gani mazingira ya Tz yalivyo ya kuvutia lkn pia kuwaonesha kwamba Tz hakuna corona, angalia hata viongozi wa upinzani waliokuwa wakipiga kelele za lockdown nao pia leo hawajavaa barakoa, hata Lissu mwenyewe hajavaa barakoa



Cc: Zigi Rizla Nicxie mwaswast Edward Wanjala komora096 Teargass

Nadhani utata umeisha ss, nyie endeleeni kupambana na corona ila mcpambane na taifa teule


ila nimejiuliza au nina wasiwasi... mtu katoka nje ya nchi (zenye corona) ila amejimuhisha moja kwa moja na watanzania, what if amepata corona on the flight or on the way in between then akawaambukiza.. hapo tu ndo nina wasiwasi!
 
ila nimejiuliza au nina wasiwasi... mtu katoka nje ya nchi (zenye corona) ila amejimuhisha moja kwa moja na watanzania, what if amepata corona on the flight or on the way in between then akawaambukiza.. hapo tu ndo nina wasiwasi!
Pale airport wasingemruhusu kupita kama ana huo ugonjwa au hata dalili tu.
 
sidhan kama airport wanapima.. wanaangalia certificate tu ya vipimo ambayo inakuwa invalid after 14 days... sasa what if amepata airport ya huko au ndan ya ndege
Wanapima, tena wako very strict, kuna overhead thermal scanners kabla ya kuvuka kwenda Immigration desks, joto lako likiwa juu hata Kama unayo certificate ya ulikotoka wanakuvuta pembeni for further measures.
 
Wanapima, tena wako very strict, kuna overhead thermal scanners kabla ya kuvuka kwenda Immigration desks, joto lako likiwa juu hata Kama unayo certificate ya ulikotoka wanakuvuta pembeni for further measures.

nadhan hujaelewa.. unaweza kuwa na corona na isionyeshe dalili kwako, ila utakayemuambukiza anaweza kuonyesha dalili after a few no of days

anyway achana nayo.. wasiwasi ni mtu kutoka nje then immediately anajumuika na kundi kubwa la watu.. kujumuika na kundi kama familia sio shida... shida ni ile kundi la watu weng sana
 
Back
Top Bottom