komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Muache aendelea na siasa za kujifunga kibwebwe na unenguajiSasa unataka kumaanisha kinondoni ni area tofauti na upanga??
Muache aendelea na siasa za kujifunga kibwebwe na unenguajiSasa unataka kumaanisha kinondoni ni area tofauti na upanga??
Uswazi kule ndio middle classApana na sjawahi ona,chenye najua ni eti uswazi unazunguka dar yote
View attachment 1518765
Umeonyesha uzaifu snaaaa ....usijarbu kujipima na heavy weight km DSM....bakini na Jiidiiipiii yenu for meantime....Pole sana, tanzania vs kibera![]()








😂 😂 😂 😂 😂 😂Uswazi kule ndio middle class
Usije na akil za kitot kwang ...niambie tu unahitaj kuona maeneo mengine zaid ya hayo...na nipo hapa kukupa bilashakaUpanga, cbd, kariakoo, ilala hamna kitu zaidi ya hapo unaweza weka jf








chukua hizi kinondoni,Ubungo na futurelistic CBD kijito nyama






Nikajua ww kumbe unajitoa akiliHuna hadhi ya kujadili mada na watu na akili zao





pumba huna point ....ukionamaumiv yamezid kukimbia unaruhusiwa




Sio kazi yangu iyooo kusikiliza vilio vyenuuHapa ni kibra si upper hill,,🙄






Maumiv yakizid unaruhusiwa kukimbiaRudi kijiweni ukapige soga, huna hoja kazi kujitoa ufahamu tu..
Zero brain wa jf




na upperhill ushuzi .... headless never tell me nothing





Mkiona hamna pakutokea km panya kweny mlango ....vilio vinaruhusiwa... hamna ubavu wa kuitikisa Dar pimbi nyie....Muache aendelea na siasa za kujifunga kibwebwe na unenguaji
Hatimaye Tundu Lissu amerejea nyumbani, na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu amefika salama inshallah.
Lengo langu hapa co kuripoti ujio wa Tundu Lissu la hasha bali ni kuwaonesha Wakenya na dunia kwa ujumla jinsi gani mazingira ya Tz yalivyo ya kuvutia lkn pia kuwaonesha kwamba Tz hakuna corona, angalia hata viongozi wa upinzani waliokuwa wakipiga kelele za lockdown nao pia leo hawajavaa barakoa, hata Lissu mwenyewe hajavaa barakoa
Cc: Zigi Rizla Nicxie mwaswast Edward Wanjala komora096 Teargass
Nadhani utata umeisha ss, nyie endeleeni kupambana na corona ila mcpambane na taifa teule![]()
Pale airport wasingemruhusu kupita kama ana huo ugonjwa au hata dalili tu.ila nimejiuliza au nina wasiwasi... mtu katoka nje ya nchi (zenye corona) ila amejimuhisha moja kwa moja na watanzania, what if amepata corona on the flight or on the way in between then akawaambukiza.. hapo tu ndo nina wasiwasi!
Pale airport wasingemruhusu kupita kama ana huo ugonjwa au hata dalili tu.
Wanapima, tena wako very strict, kuna overhead thermal scanners kabla ya kuvuka kwenda Immigration desks, joto lako likiwa juu hata Kama unayo certificate ya ulikotoka wanakuvuta pembeni for further measures.sidhan kama airport wanapima.. wanaangalia certificate tu ya vipimo ambayo inakuwa invalid after 14 days... sasa what if amepata airport ya huko au ndan ya ndege
Mtoto wa mbagala huyu,hahahaSio kazi yangu iyooo kusikiliza vilio vyenuu![]()
Eti kijitonyama iwe CBD,hahaha,tens ilala hamna kitu,ile tu picha moja ya background ya kariakoo huwa tana pangaizwa nayo eti ilala,hahahaUsije na akil za kitot kwang ...niambie tu unahitaj kuona maeneo mengine zaid ya hayo...na nipo hapa kukupa bilashakachukua hizi kinondoni,Ubungo na futurelistic CBD kijito nyama
View attachment 1518783View attachment 1518784View attachment 1518785View attachment 1518786View attachment 1518789View attachment 1518791
Wanapima, tena wako very strict, kuna overhead thermal scanners kabla ya kuvuka kwenda Immigration desks, joto lako likiwa juu hata Kama unayo certificate ya ulikotoka wanakuvuta pembeni for further measures.
Alafu gazeti LA Kenya linasema amekufa kwa heart attack wakati ni heart arrestJamaa unafosi tufanane, ss we endelea kuchafua taifa teule af muone kitakachotokea nchini kwenu, kumbe bado hamjapata fundisho.